Mwanaume unayehitaji sana mtoto..

Hakuna kupima?hahaha
 
Sisi wa mikoa ya Kanda ya ziwa hatuna nafasi?
 
Njoo nipo tayari,hapo kwenye kipato!Kila mtoto anakuja na ridhiki yake!Tutaona mbele.
 
Hunitaki mimi? Sio mweupe lakini, nina rangi kama Chausiku.

Natania mkuu tayari watoto ninao wa kutosha dume na msichana mzuri. Jaribu kuwa makini saana mtoto ni picha isiyofutika maishani ni juu yako uichore sura itakayokupa faraja na furaha hadi unafukiwa Chini au uichore sura ambayo itakukumbusha machungu hadi siku unafukiwa chini.

Lucky you bado haujafanya makosa. Hauna hata mtoto. All the best . Wanaume wazuri wapo wengi saana.
 
KaJoin Jana Jf, akapost na hii Thread, huyu ni walewale wa Warefu km Ngongoti
 
Kujiweza kimaisha ndiyo mtu anakuwaje huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…