Shida mnabadilikaga nyie mambo ya kuanza kupelekana ustawi wa jamii
Saa hizi unasema vizuri tu kwamba ni hiari kulea baadae uanze kumuendea jamaa kwa mkewe kuwa hatumi matunzo
Otherwise it's a good deal
Habari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Pole.Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Wanawake ni wajanja mno hawapotezi ama hawataki hasara yaaani wao always wanataka wanufaike na mahusiano. Mana anajua kesho atakuomba msaada. Hapa inatakiwa mou la sivyo ataanza kuleta vurugu kutumia mtt ili apate urithi asomeshwe.Habari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Ww unatafuta Sperm donor.....? Au Mume....?Habari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Sogea chuo kilicho karibu nawe utaona majina ya waliohitimu degree weeeengi na picha zao,chagua muyajenge.Habari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Ewaaaaaa nimekuelewa kwenye kila kituMwambie we ni mrefu kila kitu ataelewa tu huyu mama mtoto....
Mwamba umeshtukia mtego sio...
Kama kweli anahitaji mtoto tu, basi angeshamtunuku mchizi yeyote kitaa akamue mzigo...
Haya nipigie debe basiAcha uoga degree we umekua thermometer? Jitose una vingi vizuri kuliko degree
Nini degree?Kunywa ile pombe ya kuitwa "Master" utakuwa hadi umevuka viwango.Degree imeniengua bwana
We mmixx by yasHaya nipigie debe basi
Yas ndio kitu ganiWe mmixx by yas
Hali na kulala kwa baba!Kujiweza kimaisha ndiyo mtu anakuwaje huyo?
Na unavyopendaga shobo na kujirahisi kwa ID za kike, utakuwa umedhaenda PM huko. 😀😀Utapata
Ila before hatujazaa itapendeza tuandikishane tuwe na (Contract).
Maana ulichofanya umeamua kupitia back door ili kuifikia ndoa.
So kugeukana na kupelekana mahakamani au ustawi haifai.