Mwanaume usikubali kuuza nafasi yako uliyopewa na Mungu kama kichwa cha familia, hata umpende mwanamke kiasi gani nafasi yako ndio heshma yako

Mwanaume usikubali kuuza nafasi yako uliyopewa na Mungu kama kichwa cha familia, hata umpende mwanamke kiasi gani nafasi yako ndio heshma yako

Naona wanawake mmeamua kusimama upande wa mzee mama, BTW, dunia njia, dunia duara!! Nahisi haya yote yamekuja baada ya Harmonize kusema ikiwa wazazi wote ni nguzo hapa duniani kwanini uumfurahishe mmoja ilhali mwengine anasononeka? Baba Dangote alipohojiwa akasema mzazi mwenzie yuko kivulini hawezi kuumia kama yeye wa juani. Nadhani hayo yalimvuruga mzee mama akajikuta anasema "liwalo na lawe".

Ila mama alipigwa mashine akanasa dundo, wakaichoropoa, akatega mashine tena dundo likanasa baadaa ya ndom kupasuka, and hapo tayari alikua keshazaa naBabu yake Dayana so kwa haraka haraka tuseme mzee NGOTE alikuta booonge la dagi kama gear leaver ya Isuzu Journey, juu inagusa mpaka dashboard ila chini gear haija-engage..

wanawake bhana, since day one pale Eden walituletea shida.

Once a chips funga always a chips funga!!! Braza Shamte na wewe jiandae kilichompata mamba Kiboko atakutana nacho tu hata aneng'eneke vipi!
" Braza Shamte na wewe jiandae kilichompata mamba Kiboko atakutana nacho tu hata aneng'eneke vipi!"

Ukweli atachokwa muda sio mrefu
 
Ata hao wakwe nao kuruhusu jamaa aishi hapo ni aibu pia.
Atuyaangalii makosa ya upande wa pili sababu wana mihela now.
Ilikua familia ya hivyo tuu hakuna mipaka
Mwanaume Abdul alishindwa kung'amua mapema ama nae alikua wa hivyohivyo
 
Tangu ijumaa tarehe 15 January 2021 imekua siku mbaya sana kwa bwana Abdul Jamaa aliyekua akijulikana kama baba Nasibu au Mzee Dangote.
Hii issue ya mzee Abdul itapita lakini sisi kama jamii tuna jambo kubwa sana kujifunza haswa kwenye mahusiano na hata kwenye malezi.

Kwa wale waamini wa Mungu vitabu vitakatifu vinatoa miongozo mizuri kuhusu tunavyotakiwa kuishi, na hata wale wasioamini kwa Mungu miongozo hii ni muhimu kwani ndio sheria na taratibu za kudumisha amani na nidhamu kwenye jamii.

Mungu alimuumba mwanaume kwanza kabla ya mwanamke, na alifanya hivyo akijua umuhimu wake wa kuwa hapa duniani na uwezo wake wa kubeba majukumu. Mungu alipoona amekua mpweke alimpa mwanamke ili awe msaidizi wake. Na katika maandiko pamoja na mambo mengine maandiko yanaongelea wajibu na majukumu ya mwanaume na mwanamke.

Wanaume vaeni viatu vyenu, hata kama una mwanamke anaweza kufanya baadhi ya majukumu usibweteke sababu wanawake hufanya vitu wakiwa na mapenzi ila mapenzi yakiisha hubaki kuwa fedheha kwa mwanaume.

Tumemwona mzee Abdul alivyokwisha dhalilika na anavyoendelea kudhalilika na kuumia. Huyu mzee inawezekana kabisa kwenye ujana wake alisahau nafasi yake sababu ya mapenzi tuu aliyokua anapata, akasahau kwamba mambo yanaweza kubadilika.

Yeye anadai nasibu ni mwanae kabisa bila wasiwasi wowote lakini pia ukimsikiliza utagundua utakwamba hakuwahi kubeba majukumu yake ndio maana anakosa hata pa kusimama walau kuutetea utu wake tuu. Mambo yamemuwia magumu sababu hajawahi simama kwenye nafasi yake kama baba au mume kijamii wala kiimani

1.Hakuwahi kumuoa mama Nasib kwa kufuata taratibu zozote za anasema, za kiserikali au za kimila. Kwa maana ya taratibu huyu mwanamke hajawahi kuwa mke wake kitu ambacho kilipelekea kuzaa
~Hapakua na makubaliano

2.Mzee Abdul Jumaa kama mwanaume hakuwahi kumiliki makazi akamchukua mama Nasib na kuishi nae ndani kama familia. Anasema yeye alihamia nyumbani kwao mama nasib, nyumba aliyokua wanaishi wazazi wa mama nasib pamoja na ndugu zake wengine
~Kuishi ukweni hata kama umeoa ni fedheha kubwa sana kwa mwanaume. Sasa hapa huyu kijana wa zamani alikosea sana maana hata hakuwa ukweni, hakuwa ameoa wala kulipa mahari

3.Mzee Abdul anasema kisa cha kutengana ni kwamba mama Nasib alitoka akaenda kwa mwanaume mwingine hadi saa nane ya usiku akawa hajarudi
~Akufukuzae hakuambii toka. Hii familia walimchoka wakamuona mzigo sababu anaishi kwao, ndio maana mama nasib akawa na guts za kwenda huko anakosemekana kwenda ili jamaa aondoke

4.Baada ya kuondoka Mzee Abdul anasema hakuwahi kurudi wala kuwasliana na mama Nasib wala nasib hadi alipoanza kupa umaarufu
~Hii ni wazi kwamba mzee yalimfika hapaaa!!! Na kwakua hakuacha kitu (mke wala mtoto wa damu) haikua shida kwake kuwacancel na kuendelea na shughuli zake.... bila kujua kwamba na wao wamemcancel na kuendelea na mambo yao

Baada ya Nasib kupata umaarufu mzee Abdul alianza kurudi sababu anajua wazi nasib ameshakua maarufu na anatumia jina lake hakuna ambaye angeweza kumzuia... Mama nasib alivumilia sababu ya mwanae lakini anavyodai alikua akimwambia "wewe ulikataa majukumu....mtoto ungemtunza angekua wako..." Ila mzee Abdul aliendelea kukomaa na medias hadi yakatokea yaliyotokea.

Maskini hakujua wanawake wakibadilika wanabadilika jumla, hawajali aibu wala fedheha! Sasa mzee Abdul ataingia kwenye phase2 ya aibu kama DNA itafanyika japo yeye mwenyewe ameshagomea DNA kwa madai kwamba mtoto hagombewi!

Wanaume wanawake ni watu wazuri na wapole sana ila mnapoishi msiishie kuishi kama marafiki tuu. Waongozeni wanawake zenu kwenye imani, mila na desturi ili heshma na upendo viwe nguzo ya familia.
Binadamu sisi tuko kama tulivyo, jitahidini kuishi na sisi mkiwa wanaume maobeba majukumu yenu na mamlaka ndani ya mahusiano, familia na jamii. Mkilegea ndio tunaishia kutengeneza familia ambazo majukumu ya familia anabeba mama halafu akishayabeba yote anachukua na maamuzi nyumba inakua shubiri.


Salim Nyange RIP na mwanae Nasib Salim Nyange
View attachment 1679951
Hili Saga sikuwahi lielewa ila kwa hili bandiko lako sasa nimeelwa vyema kabisa. Wazi lazima baba u play part yako ili hata claims zako ziwe na mashiko.
 
Namlaumu mama Nasib kwa kumkubalia Abdul kuja kumnanihino nyumbani kwao. Huo ni ujinga na dharau kubwa sana kwao kama familia na hata kwa huyo Abdul japo hadi leo haoni kama hilo ni tatizo
Af anatudanganya kuwa alikuwa anapita tu na Diamond hapo kwa mzee Nasib Abdul
 
Eli79 sasa kama Abdul alikua analala na mama nasib nyumbani kwa wazazi wake alipopata uchungu angebaki nyumbani na mamamkwe halafu majirani ndio wampeleke Amana!?

Mama Nasib kasema ni kweli alimpeleka hosp lakini hajawahi mlea nasib...... inaelekea mzee alikua analelewa yeye
Kwamba mzee alikuwa Stolowei 🤣
 
Hili Saga sikuwahi lielewa ila kwa hili bandiko lako sasa nimeelwa vyema kabisa. Wazi lazima baba u play part yako ili hata claims zako ziwe na mashiko.
Extrovert kama extrovert ujikute tuu umebeba nguo zako na kuhamia nyumbani kwao gelofriend wako, tena nyumba anayoishi na wazazi wake na dada zake!

Najiuliza hata hizo nguvu za kupasua vitendea kazi alikua anazipataje ukweni....Mfyuuuu
 
Extrovert kama extrovert ujikute tuu umebeba nguo zako na kuhamia nyumbani kwao gelofriend wako, tena nyumba anayoishi na wazazi wake na dada zake!

Najiuliza hata hizo nguvu za kupasua vitendea kazi alikua anazipataje ukweni....Mfyuuuu
Hahahah hio ngumu sana kwa kweli.
 
Namlaumu mama Nasib kwa kumkubalia Abdul kuja kumnanihino nyumbani kwao. Huo ni ujinga na dharau kubwa sana kwao kama familia na hata kwa huyo Abdul japo hadi leo haoni kama hilo ni tatizo
Kumbe ndo maana kuna picha mzee Abdul anaonekana mwenye furaha sana.
Maana ni fahari isiyokifani kumnanihino demu/mke nyumbani kwao. Sasa nyumba yenyewe iwe ya kifamilia na isiyo na dari. Kila siku unatoa shoo ya kibabe mida ya kulala na alfajiri unatoa morning glory. Asubuhi ukiamka unajiona kidume haswa!
 
Eli79 sasa kama Abdul alikua analala na mama nasib nyumbani kwa wazazi wake alipopata uchungu angebaki nyumbani na mamamkwe halafu majirani ndio wampeleke Amana!?

Mama Nasib kasema ni kweli alimpeleka hosp lakini hajawahi mlea nasib...... inaelekea mzee nae alikua analelewa tuu
Kwamba mzee Abdul alikuwa akiishi kwa wakwe? Then I rest my case![emoji2307][emoji2307][emoji2307]
 
Kwamba mzee Abdul alikuwa akiishi kwa wakwe? Then I rest my case![emoji2307][emoji2307][emoji2307]
Kwa wakwe tena nyumba zetu za kiswahili..... halafu hata hana habari anapiga vyombo hadi mipira inapasuka. Na anathubu kuhadithia🙄🙄
 
Anataka kuhalisha kutokuwajibika kwa Abdul.
Ingekua miaka hii angeitwa mario
Mbona wameshaanza kujitetea mda sana😅😅
Umesahau zile kauli za kuwa wanawake wanapenda fweza..mdogomdogo nafikiri watafika kwa mzee Abdu
 
Mbona wameshaanza kujitetea mda sana😅😅
Umesahau zile kauli za kuwa wanawake wanapenda fweza..mdogomdogo nafikiri watafika kwa mzee Abdu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
nimecheka sana hahahahaaa

Wale wanaolalamika kwamba wanawake wanapenda fweza kwanza kabisa ijulikane ni wale wasiotunza wanawake wao bila kukumbushwa.... Nina uhakika hawajui wao ni kina nani na walipewa majukumu gani kiimani na kiasili

Ila Chakorii tuache utani hakuna mwanaume au mume mwenye raha na amani kama yule anayetimiza wajibu wake bila kukumbushwa na kuombwa
 
Tangu ijumaa tarehe 15 January 2021 imekua siku mbaya sana kwa bwana Abdul Jamaa aliyekua akijulikana kama baba Nasibu au Mzee Dangote.
Hii issue ya mzee Abdul itapita lakini sisi kama jamii tuna jambo kubwa sana kujifunza haswa kwenye mahusiano na hata kwenye malezi.

Kwa wale waamini wa Mungu vitabu vitakatifu vinatoa miongozo mizuri kuhusu tunavyotakiwa kuishi, na hata wale wasioamini kwa Mungu miongozo hii ni muhimu kwani ndio sheria na taratibu za kudumisha amani na nidhamu kwenye jamii.

Mungu alimuumba mwanaume kwanza kabla ya mwanamke, na alifanya hivyo akijua umuhimu wake wa kuwa hapa duniani na uwezo wake wa kubeba majukumu. Mungu alipoona amekua mpweke alimpa mwanamke ili awe msaidizi wake. Na katika maandiko pamoja na mambo mengine maandiko yanaongelea wajibu na majukumu ya mwanaume na mwanamke.

Wanaume vaeni viatu vyenu, hata kama una mwanamke anaweza kufanya baadhi ya majukumu usibweteke sababu wanawake hufanya vitu wakiwa na mapenzi ila mapenzi yakiisha hubaki kuwa fedheha kwa mwanaume.

Tumemwona mzee Abdul alivyokwisha dhalilika na anavyoendelea kudhalilika na kuumia. Huyu mzee inawezekana kabisa kwenye ujana wake alisahau nafasi yake sababu ya mapenzi tuu aliyokua anapata, akasahau kwamba mambo yanaweza kubadilika.

Yeye anadai nasibu ni mwanae kabisa bila wasiwasi wowote lakini pia ukimsikiliza utagundua utakwamba hakuwahi kubeba majukumu yake ndio maana anakosa hata pa kusimama walau kuutetea utu wake tuu. Mambo yamemuwia magumu sababu hajawahi simama kwenye nafasi yake kama baba au mume kijamii wala kiimani

1.Hakuwahi kumuoa mama Nasib kwa kufuata taratibu zozote za anasema, za kiserikali au za kimila. Kwa maana ya taratibu huyu mwanamke hajawahi kuwa mke wake kitu ambacho kilipelekea kuzaa
~Hapakua na makubaliano

2.Mzee Abdul Jumaa kama mwanaume hakuwahi kumiliki makazi akamchukua mama Nasib na kuishi nae ndani kama familia. Anasema yeye alihamia nyumbani kwao mama nasib, nyumba aliyokua wanaishi wazazi wa mama nasib pamoja na ndugu zake wengine
~Kuishi ukweni hata kama umeoa ni fedheha kubwa sana kwa mwanaume. Sasa hapa huyu kijana wa zamani alikosea sana maana hata hakuwa ukweni, hakuwa ameoa wala kulipa mahari

3.Mzee Abdul anasema kisa cha kutengana ni kwamba mama Nasib alitoka akaenda kwa mwanaume mwingine hadi saa nane ya usiku akawa hajarudi
~Akufukuzae hakuambii toka. Hii familia walimchoka wakamuona mzigo sababu anaishi kwao, ndio maana mama nasib akawa na guts za kwenda huko anakosemekana kwenda ili jamaa aondoke

4.Baada ya kuondoka Mzee Abdul anasema hakuwahi kurudi wala kuwasliana na mama Nasib wala nasib hadi alipoanza kupa umaarufu
~Hii ni wazi kwamba mzee yalimfika hapaaa!!! Na kwakua hakuacha kitu (mke wala mtoto wa damu) haikua shida kwake kuwacancel na kuendelea na shughuli zake.... bila kujua kwamba na wao wamemcancel na kuendelea na mambo yao

Baada ya Nasib kupata umaarufu mzee Abdul alianza kurudi sababu anajua wazi nasib ameshakua maarufu na anatumia jina lake hakuna ambaye angeweza kumzuia... Mama nasib alivumilia sababu ya mwanae lakini anavyodai alikua akimwambia "wewe ulikataa majukumu....mtoto ungemtunza angekua wako..." Ila mzee Abdul aliendelea kukomaa na medias hadi yakatokea yaliyotokea.

Maskini hakujua wanawake wakibadilika wanabadilika jumla, hawajali aibu wala fedheha! Sasa mzee Abdul ataingia kwenye phase2 ya aibu kama DNA itafanyika japo yeye mwenyewe ameshagomea DNA kwa madai kwamba mtoto hagombewi!

Wanaume wanawake ni watu wazuri na wapole sana ila mnapoishi msiishie kuishi kama marafiki tuu. Waongozeni wanawake zenu kwenye imani, mila na desturi ili heshma na upendo viwe nguzo ya familia.
Binadamu sisi tuko kama tulivyo, jitahidini kuishi na sisi mkiwa wanaume maobeba majukumu yenu na mamlaka ndani ya mahusiano, familia na jamii. Mkilegea ndio tunaishia kutengeneza familia ambazo majukumu ya familia anabeba mama halafu akishayabeba yote anachukua na maamuzi nyumba inakua shubiri.


Salim Nyange RIP na mwanae Nasib Salim Nyange
View attachment 1679951

"Kwa wale waamini wa Mungu vitabu vitakatifu vinatoa miongozo mizuri kuhusu tunavyotakiwa kuishi, na hata wale wasioamini kwa Mungu miongozo hii ni muhimu kwani ndio sheria na taratibu za kudumisha amani na nidhamu kwenye jamii"

Umemaliza mama D

👍🏽
 
"Kwa wale waamini wa Mungu vitabu vitakatifu vinatoa miongozo mizuri kuhusu tunavyotakiwa kuishi, na hata wale wasioamini kwa Mungu miongozo hii ni muhimu kwani ndio sheria na taratibu za kudumisha amani na nidhamu kwenye jamii"

Umemaliza mama D

👍🏽
Kwa wazazi na walezi Mungu atupe busara ya kuweza kukuza vijana wa Kizazi kijacho.
Ni hatari sana familia na jamii inapokosa kiongozi na msimamizi
 
Back
Top Bottom