marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 1,037
- 3,146
Shukrani kwa kunitag ,mimi bado kuna mipango naisikilizia ngoja nimuite Baljurashi labda anaweza kufanya jambo.adriz unaitwa huku
Ukweli upi mpendwa katika bwana.Sio kweli
Tawile hakuna mke mwema ama mume mwema mtandaoni.Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini mke mwema anapatikana kwenye mitandao! Niulize ni kwanini? Nitakuja I kuwa huyo mke mwema amekosa mme mwema kwenye physical world anayoishi kuanzia kwa waamini wenzie, majirani, wafanyakazi wenzake hata kupigiwa upate na wazee wanaomfahamu kwa vijana wao? Huwezi kuwa na tabia njema ukakosa mke/mme mwema kwenye mazingira yanayokuzunguka. Ngoja lijichanganye kitu lipigwe za uso. Mimi simo!
Mimi ni mlutherani nipo tayari , kukupenda na kukutunza Maisha yangu yote, dini na mapenzi havina uhusiano kama umenipenda Mimi na moyo wangu wa upendo niliozaliwa nao tamka hapa hadharani na sio inboxAsalam aleykum
Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena
Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji
Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi
Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia
Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Mwenyezi Mungu awe nawe!Asalam aleykum
Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena
Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji
Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi
Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia
Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Ongeza na kwamba awe tayari kukaguliwa marinda kama mazima!Asalam aleykum
Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena
Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji
Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi
Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia
Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Ushimen mke si huyu sasa?Asalam aleykum
Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena
Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji
Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi
Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia
Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Kila la kheriAsalam aleykum
Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena
Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji
Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi
Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia
Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem