Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
ππRejesho la 2K baada ya kutoa 750K eti kaona anapendwa .
Kasema ni injoy siku hiiunapokea pesa ya binti ya kazi gani ndugu
Ni kweli kabisa, mimi mwenyewe nimetumiwa. Ila najua ni Investment imefanywa nitakuja kulipa mara 2 au zaidi.Sasa buku mbili ya vocha unaona umeweza?? Subiri siku akupige mzinga yeye ndio utabweda
Ndio ushangae nawewe ππππRejesho la 2K baada ya kutoa 750K eti kaona anapendwa .
Kaka siku moja moja sio mbayaNi kweli kabisa, mimi mwenyewe nimetumiwa. Ila najua ni Investment imefanywa nitakuja kulipa mara 2.
mrudishie hiyo ni kebeiKasema ni injoy siku hii
Sasa 2k ndo unainjoy nini πππKasema ni injoy siku hii
Kumbe unalielewa hilo eeNi kweli kabisa, mimi mwenyewe nimetumiwa. Ila najua ni Investment imefanywa nitakuja kulipa mara 2.
Turingishie tu bwashee! Ila usisahau malipo yake ni Im%Au kuna mwanaume mwingine uko katumiwa tujuane tulio pata wanawake wa hivi huyu si nione anaoneka sio kama wengine wa jf
View attachment 3236520
kumbe kamtumia elfu mbili huyo binti kamuona mlevi niniSasa 2k ndo unainjoy nini πππ
Itakuwa!!!kumbe kamtumia elfu mbili huyo binti kamuona mlevi nini
Sawa mkuumrudishie hiyo ni kebei
ni sawa na kujenga kwenye kiwanja cha mwanamke
Ahahah nauli ya kutoka makumbusho mpaka post kwenda kushangaa mjiSasa 2k ndo unainjoy nini πππ
ππ tutalipa tutafanyajeTuringishie tu bwashee! Ila usisahau malipo yake ni Im%
Soma apo ππ kwahy ni weww?Acha zako asubuhi ya leo nimepewa hela kabla yako! Me ilikuwa statu wewe sangapi?
Afu chenji unafanyia niniAhahah nauli ya kutoka makumbusho mpaka post kwenda kushangaa mji