Jf siku hizi bora FacebookUtoto mwingi sana humu JF ya siku hizi.
gawio kama wanavofanyaga voda kukurudishia tsh 5 baada ya kufanya miamala kwa muda mrefuRejesho la 2K baada ya kutoa 750K eti kaona anapendwa .
Sema tu usifute....
Wanaopendwa haoAu kuna mwanaume mwingine uko katumiwa tujuane tulio pata wanawake wa hivi huyu si nione anaoneka sio kama wengine wa jf
View attachment 3236520
Pia ww unapendwa kwa nafasi yakoWanaopendwa hao
ππππ Sasa mkuu ulitaka atumiwe na Beberu ndio afurahie?Unataka tukusaidieje
π π π€£π€£ππSio kama wengine wa jf
Mambo mengine utoto Tu,Watu wanazawadiwa wengi Tu mbonaππππ Sasa mkuu ulitaka atumiwe na Beberu ndio afurahie?
Sijajivunia ila nimeshanga mkuu sikutegemea maana nilipokea simu nikajua hapa kibomuWewe kama mwanaume usijivunie kutumiwa hela na mwanamke. Labda km unamlilia shida, ila Hilo sii jambo la kujivunia kabisa mkuu
NajuA kabisa itarudi kanikopeshaUmetumiwa kiasi gani
Kwa taarifa hiyo lazima irudi na hutojua kama umeorudishaπ π π
Ishi nao kwa akiliπ€£π€£