Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubonge sio afya ni basi tu,Inabidi na nyie mnenepe tubalance mambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AmeenNawatakia ijumaa njema kwenu wanaume wote wabeba majukumu ya uanaume, watufataji, wenye upendo na huruma.
Mjue tuu nyie ni wa thamani sana
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu na yenye amani na furaha tele. Amani yenu ndio furaha yetu
Asante dadaAcha woga
Wewe ni wa muhimu na wa thamani sana
Una lako jambo siyo bure mama DNawatakia ijumaa njema kwenu wanaume wote wabeba majukumu ya uanaume, watufataji, wenye upendo na huruma.
Mjue tuu nyie ni wa thamani sana
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu na yenye amani na furaha tele. Amani yenu ndio furaha yetu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] twasema twashukurNatumia fursa hi pia kutakia mke wangu bonge na mabonge wengine ijuuma kareem, tumawapenda sanaa, japo mnakua wazito kwenye 6×6 ila tunawapenda sana tulisha kubaliana na hali zenu.
Amen sana kwa kutukumbukaNawatakia ijumaa njema kwenu wanaume wote wabeba majukumu ya uanaume, watufataji, wenye upendo na huruma.
Mjue tuu nyie ni wa thamani sana
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu na yenye amani na furaha tele. Amani yenu ndio furaha yetu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ni njanuary kwakwel tunabid tuwe na upendo wa hali ya juuNa hivi sikukuu na njanuary inakaribia kwakweli wabarikiwe sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ni njanuary kwakwel tunabid tuwe na upendo wa hali ya juu
Kongole..Nawatakia ijumaa njema kwenu wanaume wote wabeba majukumu ya uanaume, watufataji, wenye upendo na huruma.
Mjue tuu nyie ni wa thamani sana
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu na yenye amani na furaha tele. Amani yenu ndio furaha yetu
Wanaelewa ila wanahitaj support kutoka kwetu wanawake kutambua changamoto wanazopitia, kuwapa moyo, kuwahurumia, kushukuru kwa wanayotufanyia na kuwa wabunifu katika nyanja mbalimbali hasa kwenye upishi na kitandani. Ila wanavunjika moyo kwasisi kuzidisha lawama na kuwatangaza madhaifu yao hapo ndio hubadilika na kuwa viumbe wa ajabuMajukumu, upendo, thamani na nafasi ya mwanaume kwa mwanamke na familia ni ya kila siku hayaji njanuary peke yake
Wanaume wanaelewa hili vizuri