Mwanaume wewe ni mtu muhimu na wa thamani sana

Mwanaume wewe ni mtu muhimu na wa thamani sana

Mobeyo anafanya nini nchini??
Hebu huyu dada kabla ya christmass ajengewe sanamu na kupewa ulinzi haraka iwezekanvyo.

Japo ni style mpya ya upigaji ila walau inang'ata huku inapuliza 😂😂😂
 
Wanaelewa ila wanahitaj support kutoka kwetu wanawake kutambua changamoto wanazopitia, kuwapa moyo, kuwahurumia, kushukuru kwa wanayotufanyia na kuwa wabunifu katika nyanja mbalimbali hasa kwenye upishi na kitandani. Ila wanavunjika moyo kwasisi kuzidisha lawama na kuwatangaza madhaifu yao hapo ndio hubadilika na kuwa viumbe wa ajabu


Leo tumewapongeza hapa, na tumesema wazi kwamba wao ni wa muhimu sana na wana thamani kubwa sana kwetu

Ukweli ni kwamba hatujakamilika bila wao kama ambavyo hawajakamilika bila sisi. Vipo vitu tunavyoweza kuvipata au kuvifanya wenyewe lakini havina thamani wala furaha kama wakitufanyia wao😃😃

Tunawapenda sana kwakweli
 
Mmekuja na gia mpya Sasa..

We are important ila ndo wanatupiga na vitu vizito kisogoni..[emoji23]
Anyway but nimependa ushauri wa tule vizuri, mazoezi na tuvae vyema,tutafute na hela ila Kuna wadada wanakutesa hata ukiwa na hivyo vyote I mean unateswa wewe na hela zako, kula yako,mazoezi yako na ndevu zako!

Tuishi nao kwa akili tu.
Hiyo akili ya kuishi na mtesaji inauzwa duka gani?
 
asante dada tunashkuru kwa kutambua mapambano yetu
 
Leo tumewapongeza hapa, na tumesema wazi kwamba wao ni wa muhimu sana na wana thamani kubwa sana kwetu

Ukweli ni kwamba hatujakamilika bila wao kama ambavyo hawajakamilika bila sisi. Vipo vitu tunavyoweza kuvipata au kuvifanya wenyewe lakini havina thamani wala furaha kama wakitufanyia wao[emoji2][emoji2]

Tunawapenda sana kwakweli
Kwakwel wacha tuwapongez kwa kutuvumilia, kutuheshim, kututunzia madhaifu yetu wanatufanya tuone dunia tuione yenye faida kwetu hivyo hatunabudi kuwashukuru saana tu hata tuwe napesa vipi ila bado wao wananafac kubwa kweny maisha yetu na sisi pia tunanafac kubwa kweny maisha yao.
Hivyo tuishi kwa kufurahiana nakukumbushan mazur yetu sabab maisha yetu nimafupi saana tunahitajika kutengeneza historia nzur ili tuendlee kukumbukana
 
Kwakwel wacha tuwapongez kwa kutuvumilia, kutuheshim, kututunzia madhaifu yetu wanatufanya tuone dunia tuione yenye faida kwetu hivyo hatunabudi kuwashukuru saana tu hata tuwe napesa vipi ila bado wao wananafac kubwa kweny maisha yetu na sisi pia tunanafac kubwa kweny maisha yao.
Hivyo tuishi kwa kufurahiana nakukumbushan mazur yetu sabab maisha yetu nimafupi saana tunahitajika kutengeneza historia nzur ili tuendlee kukumbukana
Kwakweli am thankfully Kingsmann
 
Nawatakia ijumaa njema kwenu wanaume wote wabeba majukumu ya uanaume, watufataji, wenye upendo na huruma.

Mjue tuu nyie ni wa thamani sana




Mwenyezi Mungu awape maisha marefu na yenye amani na furaha tele. Amani yenu ndio furaha yetu
Kweli sikukuu zimekaribia
 
Kweli sikukuu zimekaribia

Sikukuu zinahusikaje hapa?

Usikute unaongelea wanaume wa msimu aka madanga na mamarioooo wakati mimi naongelea wanaume wenye ukamili wao wanaoijua thamani yao na wajibu wao kwenye ulimwengu huu wakiwamo waume zetu, baba zetu, uncles, na wanaume marafiki zetu

Mwanaume ni muhimu na wa thamani wakati wote na mahali popote
 
Back
Top Bottom