Shule muhimu sana yaani wewe Ngumbaru umeambiwa mtu kakimbia kusalimisha maisha yake sasa huo utamu wa kuishi Bongo angeupata wapi kama angekuwa hana uhai.mijitu mingine ni kama michawi tuNa umri huo kukimbiq nchi Ni mateso sana, Tanzania is the best place to live asikwambiye MTU. Nenda kokote duniani lakini home is the best. Huyo atatamani kurudi baada ya mwaka Mmoja.ulaya, marekani Ni kukaa kwa muda tu lakini siyo kuweka makazi ya kudumu.
Tutagawana hizo zaoNew development in Tanzania.
Tutafika tu wanakotaka twende lkn wajue hata wao hawatabaki salama.
Sio wanafikiri, ni pazuri sana tu. maji safi ya bomba yapo, umeme sio.wa mgao, barabara nzuri, mvua zikinyesha hakuna madimbwiHata Kambona alikimbia nchi lakini baadae akarudi akiwa amechoka ile mbaya!! Wanafikiri ni pa zuri sana kwa wazungu!
OK ok mtanzania mwenzangu, kumbe hawazushi ni kweli wanakimbia kwa sababu ya WOGA wa kushughulikiwa. Wasi wasi wangu ulikuwa ni isije ikawa wanakimbia kuchafua nchi yetu tu. Maana mwingine anaweza akawa anatafutwa na polisi tu ajieleze akaenda ukimbizini na kukuza mambo. Basi kama ni kweli kama unavyosema acha tu akimbie, hakuna anayetaka kufa hata kama amefanya makosa ya usaliti. Lazima atapigania uahai wake.Ipo siku nyingi Kambona alikimbia baada ya kuanzishwa Azimio la Arusha pia wapemba walikimbia kwenda UK baada ya kuanzisha chokochoko Zanzibar. Hivyo si mara ya kwanza ila kama umezaliwa miaka ya 2000 then huwezi jua!! Watanyooka tu!! Hapa kazi tu!!
tu wakikosa hoja wanakimbilia kutukana umemjibu vizuri sana na wengi wanaoandika haya mambo ni wakimbizi huko waliko wanajiita Wasimali na warundi na wengine labda bado hawajapata makaratasi ndiyo maana wanawadanganya wenzao wakapigwe virungu wapate video za kuonyesha kwa mawakili wao wawasaidie kesi za kikimbizi.Sawa.
Alishasema harudi.Nashauri Lisu asuridi Tanzania, hawa wauaji watammaliza. Atutetee akiwa huko , it will also give big impact!
Inategemea nchi zingine unakaa kambini.Ukipewa asylum una option na kila haki ya kuchukua familia yako ukaishi nayo. Hii ni haki ya kila mkimbizi. Na utapewa nyumba ya kutosha familia nzima hata kama una baba na mama wazee wanaokutegea.
mkuu safi sana.. umeeleweka yani..Kwa.miaka 30 watu waliishi maisha ya kuigiza, 1+1 walisema Ni 3 sasa president anasema lazima iwe mbili(2), hapo sasa. Wengi watalia sana kipindi hiki. Wataongea sana na visingizio kibao lakini ukweli uko palepale.
Hizo ni "speculations" tu. Kutokana na taarifa hii ni kwamba Ngurumo amepata "ukimbizi" Finland. Sawa, Dr. Slaa atawakilisha Tz kwa nchi zote za Nordic kutokea Stockholm, lakini sidhani kama Ngurumo ana lolote la maana hadi kupoteza muda kwa ajili yake.Alikuwa Sweden, and guess what? Dr Slaa kapelekwa huko, wat du yu ekspekti?
Bado tu mnaendelea kuchafua taifa kwa ukosefu wa busara. Kwa utaratibu huu mtajenga nchi let it alone ya viwanda? Maana wengine viwanda kwenu ni matumbo yenu tuu! Huku mkimdanganya rais kuwa ndo njia sahihi ya kuelekea kwenye Taifa la viwanda!Hizo ni "speculations" tu. Kutokana na taarifa hii ni kwamba Ngurumo amepata "ukimbizi" Finland. Sawa, Dr. Slaa atawakilisha Tz kwa nchi zote za Nordic kutokea Stockholm, lakini sidhani kama Ngurumo ana lolote la maana hadi kupoteza muda kwa ajili yake.