Kama hakikimbiwi mbona sizonje yeye anajilinda na mabunduki ya kumwaga na mashushushu wa kila aina wanamlinda?Atafuta Kiki kifo kinakimbiwa Toka lini,kinapofika ata ulipo kinakukuta sema kaenda kwenye masilahi zaid
K
Kule kwa wazungu na kurud kwenu ukijua wazi unatafutwa na huna namna ya kujilinda na wenye mkono mrefu bora wapi!!? Hayajakukuta mkuu! Endelea kukoment tu!
Kila siku wakimbizi wanapotokea duniani hutangazwa. Kwa Ngurumo ni kwa nini unasema inapigwa filimbi?
Kwahiyo kuuawa siku hizi ni kawaida ?Wale waliouawa Kibiti sio watu?
Ukishakuwa na roho ya kikatili na furasituresheni za hovyo, unajikuta tu unapandwa na hasira unapoona maswali kama haya.“Tumuombee Rais Magufuli au Tundu Lissu?”
Atafuta Kiki kifo kinakimbiwa Toka lini,kinapofika ata ulipo kinakukuta sema kaenda kwenye masilahi zaid
Munaoleta vijihabari kama hivi, sijui kama munatumia analytical mind. Anyemtishia ni nani? Mdeni wake, au anayetembea na mke wake? Nchi hii kuna watu kibao wanawinda kukimbilia nje kwa hiari yao lakini hata kama siyo hivyo, hiki unachokileta kwa ushujaa na vigeregere ni uchafu tu! Lete topic kwa majadiliano na siyo ushabiki suio na maana yoyote ile. Mtu mmoja akiondoka nchini ndo unatoa maoni ya nchi kuwa mbaya? Snowden amekimbilia Russia, je tusema US hali ni mbaya? Assange yuko chini ya ulinzi wa Ecuador, je tuseme Australia hali ni mbaya? amekimbilia Canada, je tuseme Kenya hali ni mbaya?
Kulikuwa kuna ajuza ana kiherehere kama wewe(faizafoxy).Alikuwa mtetezi sana wa sirikali katika maovu yake na chama chake.Ameona dhambi zimezidi amekaa kimya,bado wewe.
Mkuu sijui Kama watakuelewa maana ulichoandika hapa sio wote wana uwezo nacho.Tatizo watu wanadhani kila mtu duniani anafatilia habari za upinzani Tanzania.Kuna watu hapo Jirani Kenya na Uganda hawajui hata mtu anaitwa Lissu.Ngurumo anadai kutishiwa Maisha ila hajatoa taarifa polisi wala popote, kashapitisha anatafutwa na serikali.Na wapuuzi wachache wanakomaa eti TZ hali ni mbaya.Mbona magazeti yanatoka kila siku mpaka hilo TZ Daima limetoka Leo?,hao wanaoandika mbona wapo huru uraiani?,vijana wa TZ wamejawa ushabiki tu hawajui wanachopigania.Munaoleta vijihabari kama hivi, sijui kama munatumia analytical mind. Anyemtishia ni nani? Mdeni wake, au anayetembea na mke wake? Nchi hii kuna watu kibao wanawinda kukimbilia nje kwa hiari yao lakini hata kama siyo hivyo, hiki unachokileta kwa ushujaa na vigeregere ni uchafu tu! Lete topic kwa majadiliano na siyo ushabiki suio na maana yoyote ile. Mtu mmoja akiondoka nchini ndo unatoa maoni ya nchi kuwa mbaya? Snowden amekimbilia Russia, je tusema US hali ni mbaya? Assange yuko chini ya ulinzi wa Ecuador, je tuseme Australia hali ni mbaya? Miguna amekimbilia Canada, je tuseme Kenya hali ni mbaya?
ID feki mna kaziHapana, anakotupeleka Magufuli siko tuamke!
Nashauri Lisu asuridi Tanzania, hawa wauaji watammaliza. Atutetee akiwa huko , it will also give big impact!
Ulichoandika kuna sehemu hakieleweki. Sada rudi kwenu ndo nini?Sema hali mbaya kwa watu gani hasa!? Snowden kukimbilia Urus je hali haijamaanisha hali mbaya ila maisha yake yako hatarini!! Na Assange kwenda Ecuador hali mbaya kwake! sio kwa marekan! Sada rudi kwenu hapa Tz ni makundi ya watu ndio yako hatarini! WANASIASA! Wahariri, waandishi wa habar! Wanaharakat! Kwahiyo usiringanishe USA na Tz kwa matukio hayo! Utafeli mapema!
Koma kwanza kumuita Dada wa JF ajuza..
Na pia nakukumbusha mimi sina chama.. nipo naburudika nanyo wabishi na wavivu na wadaku na wafata mikumbo..
Ninaposikia waajili wanalaani ubora wa wasomi wa TZ nimekuwa nikikataa, lakini ukiangalia yanayoandikwa hapa JF na wakati mwingine anayeandika ni mtu ambaye hapo alipo anaaminika kwa ufahamu, ni aibu. Yaani eti Ngurumo akitishiwa TZ anakimbilia Ulaya. Kenya haioni, Zambia, Malawi, Uganda, avuke basi hadi Namibia! Yeye anatamani aende Ulaya! Halafu mtu yuko JF anaona ni point ya kulaani nchi.Mkuu sijui Kama watakuelewa maana ulichoandika hapa sio wote wana uwezo nacho.Tatizo watu wanadhani kila mtu duniani anafatilia habari za upinzani Tanzania.Kuna watu hapo Jirani Kenya na Uganda hawajui hata mtu anaitwa Lissu.Ngurumo anadai kutishiwa Maisha ila hajatoa taarifa polisi wala popote, kashapitisha anatafutwa na serikali.Na wapuuzi wachache wanakomaa eti TZ hali ni mbaya.Mbona magazeti yanatoka kila siku mpaka hilo TZ Daima limetoka Leo?,hao wanaoandika mbona wapo huru uraiani?,vijana wa TZ wamejawa ushabiki tu hawajui wanachopigania.
Dunia nzima binadamu kwa asili anataka awe huru na hataki kulazimishwa kuishi kwa kulazimishwa na kikundi cha watu wachache kwa kutuKwa.miaka 30 watu waliishi maisha ya kuigiza, 1+1 walisema Ni 3 sasa president anasema lazima iwe mbili(2), hapo sasa. Wengi watalia sana kipindi hiki. Wataongea sana na visingizio kibao lakini ukweli uko palepale.
Dunia nzima binadamu kwa asili yake anataka kuwa huru sio kupangiwa aina ya maisha ya kuishi na kikundi cha watu wachache kwa kutumia mfumo kudictate mambo yaende...na kudanganya watu eti mlikuwa mnaishi maisha sio,suala hapa ni kuishi. Nakuhakikishia Kaka watu waliozoea kuishi kwa miaka 30 vile wanavyotaka wao huwezi kuwabadili kwa miaka 10 au 20..Kisaikolojia utahitaji zaidi ya miaka 30 na kwa kutumia ubavu kweli mnapanga na wao wanaplan mbinu mpya ivyo ni vita baridi,nina imani watu wamechoka na wanajaribu dozi iitwayo 26042018,hii ikishindikana watajaribu tena na tena ...Kwa kulazimisha mfumo Nyerere aliponea chupuchupu kupinduliwa zaidi ya mara 13!..mwisho alichemka akang'atuka,na Nyerere was the smartest president,sembuse uyu !...hii ilikuwa watz bado hawana exposure,leo hii je?NI SUALA LA MUDA TUKwa.miaka 30 watu waliishi maisha ya kuigiza, 1+1 walisema Ni 3 sasa president anasema lazima iwe mbili(2), hapo sasa. Wengi watalia sana kipindi hiki. Wataongea sana na visingizio kibao lakini ukweli uko palepale.