Mwandishi maarufu JF aliteswa sana baada ya yale Maswali

Mwandishi maarufu JF aliteswa sana baada ya yale Maswali

Kwanza hii habari ina asilimia kubwa ya kuwa ni uongo kwa sababu ujasiri wa alichokifanya Pascal sio tu waandishi wengi wangeshindwa kufanya, isipokuwa mpaka JPM anaondoka hakuna mwandishi mwingine yeyote angethubutu kuuliza.

Muhimu ni kwamba Pascal ni mkweli siku zote, amekuwa akiuishi ukweli na aliendelea kuusema ukweli kipindi chote JPM akuwa madarakani tena hata ule uliokuwa mchungu ila una maslahi ya taifa.
 
Hii habari imenisikitisha sana

Kuna mwanafamilia mmoja wa Mwandishi huyo alisoma nae Tambaza anasema Mwandishi huyo maarufu humu JF aliteswa sana baada ya yale maswali.

Ilifika mahali alitamani kurudi kijijini na kama sio uhusiano wake na Rais Mkapa mambo yangekuwa mengine

Hii ni kwenye mjadala wa Kitabu maarufu chenye siri za kutosha za utawala wa awamu ya Tano CH

Pole sana mkuu, you have my respect on...

Kuna watanzania huwa wanapitia magumu kimya kimya kiuhalisia ila tunaishia kuwabeza humu ..

Narudia tena, pole sana kiongozi, una heshima yangu ya kutosha .. ikikuoendeza utasema siku ikifika.
Insinuation ya ulichokisema ..ni kama vile ulimaanisha Paskali katika mantiki kwamba ni mwandishi na anatumia ID yenye jina lake halisi..na alisoma Tambaza kwa maelezo yake....na ndiye aliyeuliza hayo maswali kwa JPM.
Ukiniambia Paskali alipata usumbufu kwa kuuliza hayo maswali..,sinunui maelezo yako kwa vile najua Paskali aliuliza hayo maswali kwa sababu ya kazi yake ya uandishi na kwa kazi YAKE. Na kama alipata miisukosuko ni maigizo ya kazi YAKE.
Hata wewe umeka bandiko lako kwa sababu ya kazi YAKO ambayo inafanana na YAKE ili kazi YAKE inogeshwe.
Wengine wanaangalia na kusoma toka kushoto kwenda kulia,..mimi nasoma kama hivyo hivyo,lakini narudia tena toka kulia kwenda kushoto ili kupata maana halisi.
 
Hii habari imenisikitisha sana

Kuna mwanafamilia mmoja wa Mwandishi huyo alisoma nae Tambaza anasema Mwandishi huyo maarufu humu JF aliteswa sana baada ya yale maswali.

Ilifika mahali alitamani kurudi kijijini na kama sio uhusiano wake na Rais Mkapa mambo yangekuwa mengine

Hii ni kwenye mjadala wa Kitabu maarufu chenye siri za kutosha za utawala wa awamu ya Tano CH

Pole sana mkuu, you have my respect on...

Kuna watanzania huwa wanapitia magumu kimya kimya kiuhalisia ila tunaishia kuwabeza humu ..

Narudia tena, pole sana kiongozi, una heshima yangu ya kutosha .. ikikuoendeza utasema siku ikifika.
In the name of the president
 
Back
Top Bottom