covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
kwa mtu mwenye hulka kama magufuli kwa haya maswali uliyomuuliza lazima alikuwekea kinyongo..pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhudala mwana malonjaPasi shokaga kaya, Iyala lashilaga, Pasi Shokaga Kaya, Iyala lashilaga
Kuna mwamba alitafsiri kikwao kuwa Mayala ni njaa....
Insinuation ya ulichokisema ..ni kama vile ulimaanisha Paskali katika mantiki kwamba ni mwandishi na anatumia ID yenye jina lake halisi..na alisoma Tambaza kwa maelezo yake....na ndiye aliyeuliza hayo maswali kwa JPM.Hii habari imenisikitisha sana
Kuna mwanafamilia mmoja wa Mwandishi huyo alisoma nae Tambaza anasema Mwandishi huyo maarufu humu JF aliteswa sana baada ya yale maswali.
Ilifika mahali alitamani kurudi kijijini na kama sio uhusiano wake na Rais Mkapa mambo yangekuwa mengine
Hii ni kwenye mjadala wa Kitabu maarufu chenye siri za kutosha za utawala wa awamu ya Tano CH
Pole sana mkuu, you have my respect on...
Kuna watanzania huwa wanapitia magumu kimya kimya kiuhalisia ila tunaishia kuwabeza humu ..
Narudia tena, pole sana kiongozi, una heshima yangu ya kutosha .. ikikuoendeza utasema siku ikifika.
Wafuasi wa Magu wanaweza kumbishia hata muhusikaNi kweli yeye mwenyewe aliwahi kupandisha uzi humu akadai usingizi umegoma madeni yanamuandama maafisa mapato wanamfuatilia na dili zake za PPR zinazimwa.
Hata maswali yenyewe hajaweka tuamini kama yalistahili kufuatana na adhabu au huruma zetuSasa si umtaje huyo mwandishi! Au na wewe unaogopwa kuteswa?
Mbona Pascal ameshamiri sana hapa jukwaani, Magufuli alikuwa mwendawazimuMkuu mwandish maaruf JF ni mmoja tu
Ana zuga tuu🤣🤣🤣🤣🤣Alipewa Mateso gani?
Mbona siku hizi anasifia chama Cha watesi?
Pascal Mayalla alikuwa ametakata sana kabla ya figisu
Pascal Mayalla alikuwa ametakata sana kabla ya figisu
In the name of the presidentHii habari imenisikitisha sana
Kuna mwanafamilia mmoja wa Mwandishi huyo alisoma nae Tambaza anasema Mwandishi huyo maarufu humu JF aliteswa sana baada ya yale maswali.
Ilifika mahali alitamani kurudi kijijini na kama sio uhusiano wake na Rais Mkapa mambo yangekuwa mengine
Hii ni kwenye mjadala wa Kitabu maarufu chenye siri za kutosha za utawala wa awamu ya Tano CH
Pole sana mkuu, you have my respect on...
Kuna watanzania huwa wanapitia magumu kimya kimya kiuhalisia ila tunaishia kuwabeza humu ..
Narudia tena, pole sana kiongozi, una heshima yangu ya kutosha .. ikikuoendeza utasema siku ikifika.
Akaambiwa Mayala ni Njaa, ila Marehemu alikua na shomboPascal Mayalla toa neno kaka roho zetu zitulie