Kwakuwa jamaa anapenda kuquote nyuzi zake za nyuma ngoja nimtag auweke ule uzi wake siku hiyo kapandisha uzi kwa kukosa usingizi.Wafuasi wa Magu wanaweza kumbishia hata muhusika
Hao walinda legacy uchwara achana nao , japo Mayalla baada ya hili tukio niliacha kumchukulia serious maana alirudi nyuma sana na kuwa chawa kupitiliza .
Cc Pascal Mayalla