Mwandishi maarufu JF aliteswa sana baada ya yale Maswali

Mwandishi maarufu JF aliteswa sana baada ya yale Maswali

Alipewa Mateso gani?
Mbona siku hizi anasifia chama Cha watesi?
Niliwahi kuandika humu kumhusu Pascali. Huyu jamaa ni hazina ya taifa. Sema tu watawala hawawapendagi watu wenye akili. Kuhusu kusifia chama tawala, sijui kama ni sahihi. Lakini ukimsoma p vizuri utagundua ni kama p alishakata kamba siku nyingi huko kijanini na sasa ni kama mpinzani asiye uamini upinzani. Yaani haoni kama wapinzani wako serious kutaka kuingia madarakani bali anawaona kama wababaishaji. Hilo hata mimi sikumwelewa lakini sasa yapo wazi. Hongera p.
 
No, sijaasi Katoliki, mke wa kwanza ni wa kanisa Katoliki, ndie anaishi US na watoto wake, wa pili ni wa kimila yeye anaishi Canada, na wa tatu ni wa kiserikali ndie niko naye Dar, na nimekufa nimeoza,ila kula kula kuko pale pale!。

Nimefuatilia sana Bible kwa makini kabisa, hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja,hata wanawake waliokuwa wakimhudumia Bwana wetu Yesu Kristo ni watatu,Maria Magdalena,kuna Veronica na Salome!。 Nimesoma sana Bible, nikakuta hakuna popote issue ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu,ni uongo wa wazungu kutokana na wao kutokuwa very active,ni damu baridi, uwezo wao ni kula mboga moja tuu hiyo hiyo, sisi Africa ni damu moto,huwezi kushiba mboga moja hiyo hiyo kila siku,lazima ubadili mboga!。 Nilimshauri hata Blaza "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
Umesema umesoma sana biblia,hukuona nabii aliyeoa mke mmoja.Haya niambie;nabii Musa alikuwa na wanawake wangapi?Nabii Yeremia alikuwa na wanawake wangapi?Nijibu maswali hayo mawili tu kwa ushahidi wa biblia kabla sijaendelea.Ahsante
 
Niliwahi kuandika humu kumhusu Pascali. Huyu jamaa ni hazina ya taifa. Sema tu watawala hawawapendagi watu wenye akili. Kuhusu kusifia chama tawala, sijui kama ni sahihi. Lakini ukimsoma p vizuri utagundua ni kama p alishakata kamba siku nyingi huko kijanini na sasa ni kama mpinzani asiye uamini upinzani. Yaani haoni kama wapinzani wako serious kutaka kuingia madarakani bali anawaona kama wababaishaji. Hilo hata mimi sikumwelewa lakini sasa yapo wazi. Hongera p.
Umememwelezea vizuri sana
 
No, sijaasi Katoliki, mke wa kwanza ni wa kanisa Katoliki, ndie anaishi US na watoto wake, wa pili ni wa kimila yeye anaishi Canada, na wa tatu ni wa kiserikali ndie niko naye Dar, na nimekufa nimeoza,ila kula kula kuko pale pale!。

Nimefuatilia sana Bible kwa makini kabisa, hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja,hata wanawake waliokuwa wakimhudumia Bwana wetu Yesu Kristo ni watatu,Maria Magdalena,kuna Veronica na Salome!。 Nimesoma sana Bible, nikakuta hakuna popote issue ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu,ni uongo wa wazungu kutokana na wao kutokuwa very active,ni damu baridi, uwezo wao ni kula mboga moja tuu hiyo hiyo, sisi Africa ni damu moto,huwezi kushiba mboga moja hiyo hiyo kila siku,lazima ubadili mboga!。 Nilimshauri hata Blaza "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
Kwahiyo mkuu unajigawaje Nchi tatu tena za Mbali mbali?Si utakuwa unagongewa tu Mjomba?
 
Ila lile swali lilikua gumu sana!
Hata kama ingekua mimi lazima asumbuke!
Kwahiyo alikuwa anafanya mambo ambayo hana majibu yake ikitokea akaulizwa? Mwenye akili timamu yeyote lazima angejiandaa kuulizwa maswali ya hivyo.
 
Kwahiyo alikuwa anafanya mambo ambayo hana majibu yake ikitokea akaulizwa? Mwenye akili timamu yeyote lazima angejiandaa kuulizwa maswali ya hivyo.
Si kwamba lilikuwa gumu kijibu ila ilikua sio rahisi kuulizwa swali la namna ile kwa wa wakati ule halafu kwa ustadi wa namna ile.
 
No ,sisi Wasukuma hatuowagi wazungu,hata mimi licha ya kupenda sana kula,sipendi kula vyakula vya kizungu,Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? hata kuku wa kienyeji ni mtamu kuliko kuku wa kizungu!。 Wamama wote ni wabongo, ila sasa ni Canadian na US subjects。

Watoto wa US mkubwa ana watoto 3,mdogo ana watoto wawili。

Wa Canada ,wamemaliza universities,mdogo anafanya masters。

Wa Bongo,ndio nahangaika nao,Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako
P
Hahahha... Safi safiiii...
Nimekuelewa sana Mkuu.🙌🙌
 
No, sijaasi Katoliki, mke wa kwanza ni wa kanisa Katoliki, ndie anaishi US na watoto wake, wa pili ni wa kimila yeye anaishi Canada, na wa tatu ni wa kiserikali ndie niko naye Dar, na nimekufa nimeoza,ila kula kula kuko pale pale!。

Nimefuatilia sana Bible kwa makini kabisa, hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja,hata wanawake waliokuwa wakimhudumia Bwana wetu Yesu Kristo ni watatu,Maria Magdalena,kuna Veronica na Salome!。 Nimesoma sana Bible, nikakuta hakuna popote issue ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu,ni uongo wa wazungu kutokana na wao kutokuwa very active,ni damu baridi, uwezo wao ni kula mboga moja tuu hiyo hiyo, sisi Africa ni damu moto,huwezi kushiba mboga moja hiyo hiyo kila siku,lazima ubadili mboga!。 Nilimshauri hata Blaza "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
Hata hivyo Mungu hakusema uzae ujaze dunia pekee yako
 
Hata hivyo Mungu hakusema uzae ujaze dunia pekee yako
Huwezi kujaza dunia peke yako ndio maana akatuumbia wa kujaza nao dunia!.

Pili hiyo ndio kazi ya kwanza binadamu aliyopewa baada ya kuumbwa, aliambiwa zaeni muongezeke muijaze nchi yote.

Hivyo kazi ya binadamu aliyotumwa na Mungu ni hiyo ya kuijaza dunia!.
P
 
Pascal Mayalla hawezi kujibu hilo swali hata mara moja

Ana kiapo cha kazi yake

Hata baada ya kuitwa na kuhojiwa na Kamati ya maadili ya Bunge, hakuweza kusema popote undani wa mahojiano yale

Mbwa kamwe, hawezi kumzaa Mbuzi
 
No, sijaasi Katoliki, mke wa kwanza ni wa kanisa Katoliki, ndie anaishi US na watoto wake, wa pili ni wa kimila yeye anaishi Canada, na wa tatu ni wa kiserikali ndie niko naye Dar, na nimekufa nimeoza,ila kula kula kuko pale pale!。

Nimefuatilia sana Bible kwa makini kabisa, hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja,hata wanawake waliokuwa wakimhudumia Bwana wetu Yesu Kristo ni watatu,Maria Magdalena,kuna Veronica na Salome!。 Nimesoma sana Bible, nikakuta hakuna popote issue ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu,ni uongo wa wazungu kutokana na wao kutokuwa very active,ni damu baridi, uwezo wao ni kula mboga moja tuu hiyo hiyo, sisi Africa ni damu moto,huwezi kushiba mboga moja hiyo hiyo kila siku,lazima ubadili mboga!。 Nilimshauri hata Blaza "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
😁😁Salome, Magdalena na Vero walikuwa wanampa huduma Gani Yesu?? Mi naamini Hadi masuria wamebarikiwa sana na ndo mana Suleiman alipewa hela na mamlaka na akaongezewa maokoto na Mungu mwenyewe na alikuwa ana wake na masuria juu..Mungu angekuwa hapendi asingemoa Suleiman mambo yote hayo.
Nasadiki kwa kanisa takatifu katoliki la mitume
 
Back
Top Bottom