Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Yaani anacheka ila uso haucheki, hapo moyoni anajisema "hanijui vizuri huyu"!!! Ila huyu baba alalage tu🙌🙌🙌🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kwao magu ni mungu🙆♂️Wafuasi wa Magu wanaweza kumbishia hata muhusika
Sometime inabidi ufuate rules za African culture ili uishi na uendelee kula. "You can't be talking while you're eating ". Sijui kama kiinglish chake kiko sawaKwakuwa jamaa anapenda kuquote nyuzi zake za nyuma ngoja nimtag auweke ule uzi wake siku hiyo kapandisha uzi kwa kukosa usingizi.
Hao walinda legacy uchwara achana nao , japo Mayalla baada ya hili tukio niliacha kumchukulia serious maana alirudi nyuma sana na kuwa chawa kupitiliza .
Cc Pascal Mayalla
P huyoHii habari imenisikitisha sana
Kuna mwanafamilia mmoja wa Mwandishi huyo alisoma nae Tambaza anasema Mwandishi huyo maarufu humu JF aliteswa sana baada ya yale maswali.
Ilifika mahali alitamani kurudi kijijini na kama sio uhusiano wake na Rais Mkapa mambo yangekuwa mengine
Hii ni kwenye mjadala wa Kitabu maarufu chenye siri za kutosha za utawala wa awamu ya Tano CH
Pole sana mkuu, you have my respect on...
Kuna watanzania huwa wanapitia magumu kimya kimya kiuhalisia ila tunaishia kuwabeza humu ..
Narudia tena, pole sana kiongozi, una heshima yangu ya kutosha .. ikikuoendeza utasema siku ikifika.
Sio huyo. Huyo nae hana effect na makaratasi yake ya ujasusi.Au unamsemea yule mwandishi anaetumia jina la baba wa taifa pale mwishoni
Kwahiyo mlitaka maigizo kuwahadaa Watanzania?Swali lake halikuwa sahihi kama rais hakuwa ameandaliwa. Kama nchi lazima tuwe na mkakati
Wewe ni mjinga huwezi kuelewa bichwa halina kitu. Yaani watu ka wewe ni hasara kuwa nao TanzaniaKwahiyo mlitaka maigizo kuwahadaa Watanzania?
Huyu kichaa wenu mwendakuzimu angekuwa anajuwa kingereza angehojiwa BBC kwenye Hard talk na Tim Sebastian lazima angerusha ngumi au angetowa bastola yake.
Benjamin Mkapa akiwa Rais aliwekwa kati na Tim Sebastian mashavu yalivimba, anaulizwa vipi kuhusu Zanzibar anafura eti nenda Zanzibar kawaulize wenyewe, shenzi type.
Kwa hyo una watoto wenye asili ya kizungu? Au hao wanawake waliopo US na Canada ni Blacks pia?No, sijaasi Katoliki, mke wa kwanza ni wa kanisa Katoliki, ndie anaishi US na watoto wake, wa pili ni wa kimila yeye anaishi Canada, na wa tatu ni wa kiserikali ndie niko naye Dar, na nimekufa nimeoza,ila kula kula kuko pale pale!。
Nimefuatilia sana Bible kwa makini kabisa, hakuna nabii yeyote aliyekuwa na mke mmoja,hata wanawake waliokuwa wakimhudumia Bwana wetu Yesu Kristo ni watatu,Maria Magdalena,kuna Veronica na Salome!。 Nimesoma sana Bible, nikakuta hakuna popote issue ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu,ni uongo wa wazungu kutokana na wao kutokuwa very active,ni damu baridi, uwezo wao ni kula mboga moja tuu hiyo hiyo, sisi Africa ni damu moto,huwezi kushiba mboga moja hiyo hiyo kila siku,lazima ubadili mboga!。 Nilimshauri hata Blaza "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
No ,sisi Wasukuma hatuowagi wazungu,hata mimi licha ya kupenda sana kula,sipendi kula vyakula vya kizungu,Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? hata kuku wa kienyeji ni mtamu kuliko kuku wa kizungu!。 Wamama wote ni wabongo, ila sasa ni Canadian na US subjects。Kwa hyo una watoto wenye asili ya kizungu? Au hao wanawake waliopo US na Canada ni Blacks pia?
Watoto wa US mkubwa ana watoto 3,mdogo ana watoto wawili。Na vipi kuhusu matunzo, bado unatoa matunzo huko US na canada na kuwasiliana nao pia?
Nchi iliyo lelewa kwenye misingi ya kuamini rais ni mungu lazima watu wawe na hoja kama zakoSwali lake halikuwa sahihi kama rais hakuwa ameandaliwa. Kama nchi lazima tuwe na mkakati
Unataka mwenzako aminywe Mbupu huku ww unakula maisha apo kwa Dada sioNaungana na beira boy.unaleta mafumbo ya Nini Sasa? We mtaje ukidaiwa ushahidi mtajuana wenyewe
Huyu ana uhusiano na Nkapa? Huyu si Msukuma wa Ng'wanza?
Uhusiano sio lazima uwe wa damu au ukabila.Huyu ana uhusiano na Nkapa? Huyu si Msukuma wa Ng'wanza?
Sijaona sehemu ulipojibu kama uliteswa kweli baada ya lile swali au ni uzushiNo ,sisi Wasukuma hatuowagi wazungu,hata mimi licha ya kupenda sana kula,sipendi kula vyakula vya kizungu,Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? hata kuku wa kienyeji ni mtamu kuliko kuku wa kizungu!。 Wamama wote ni wabongo, ila sasa ni Canadian na US subjects。
Watoto wa US mkubwa ana watoto 3,mdogo ana watoto wawili。
Wa Canada ,wamemaliza universities,mdogo anafanya masters。
Wa Bongo,ndio nahangaika nao,Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako
P