Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Respect wakati misikitini mnatukana imani nyingine?huu nao ni usheitwani.Au ndio miujiza yenu hiyo?huwezi kuta Kanisani eti wanaongelea uislam,uoga una ibilisi ndani yake.
Well, hilo siwezi kulijua sababu sijawahi kwenda msikitini, sasa mimi nahusika vipi hapo?
Sasa badala ya kutukana wote unaonaje ukatukana hao ambao wanakutukana huko msikitini specifically?

Good Idea, right?
Sasa fanya hivyo.
 
Kwann unadhani sababu wewe humuoni allah na mwingine hamuoni? Mtu ambaye hajawahi kumuona mama yake (wale waliozaliwa na mama kufariki)akitukaniwa mama yake anapata uchungu? Kama ndio ni kwann ilihali haoni hisia za huyo mama yake kama ulivyosema?
 
This world go tire me.. Someone published a book 34 years ago. You say the book insulted your god & you passed a death sentence on him. Your god could not avenge the insult for all these 34years & you still carry the 34years old bitterness reach 2022 to the extent of committing murder. Religion is scum.
 
Dizaini ya watu kama hao wasioheshimu vya watu ni watoto waliopatikana guest houses au vichakani.
Watu waliopatikana kwa ndoa halali iwe ya Kimila au ya Kidini hawawezi ku behave namna hiyo.
 
Mimi sio mtu wa dini sana lakini ukiitukana dini yangu lazima nipanic.
Au wewe utakubali nikutukanie dini yako na mungu wako mkuu.
Mm nafikiri hoja siyo kutukana.mm nilisona na kusikia maelezo yeke kifupii hajatukana ila akitoa majibu ya utafiti wak
e ndo akaja na cjñclusion ya hivyo.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Njia iliyo bora ya kupambana na mpumbavu ni kumpa ushindi na sio kurudisha tusi kwa tusi wote mtaonekana ni wapumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…