Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Balaa kubwa hilo,
Katika vitu ambavyo mimi hueshimu sana ni Deen ya mtu, kwa sababu hii kitu mtu huanza kupandikizwa akiwa mtoto mdogo hivyo humkaa mwanadamu kisawasawa. Although I most likes Muslim women, for its good behave.
Kwanini ndugu yangu usitumie kiswahili pekee yake?
"I most likes" ndio nini hii?"For its good behave"-Nini tena hiki?
 
Nonsense
Hiyo ndio maana ya heshima ni kitu cha bure.
Dini kwa wengi ni kitu personal sana ukiitukana ni kama umemtukana yeye, mama yake, mwanae au mkewe.

Mkuu mimi nikikutukania mama yako tusi zito utakubali nitembee kifua mbele kwamba mimi ni mbabe kisa tu Mungu ameniruhusu kuishi?

Fikiria hilo swali kwa makini.
 
Ukipanic hakuna tatizo, ila ukianza kushambulia na kuua watu ndipo kunakuwa tatizo. Watu wengi tu wakiona mtu anakula kitimoto, mbwa au bia wanapanic ila wanaendelea na maisha yao kwa amani.

Wahindu wengi wakiona unakula nyama ya ng'ombe wanapanic ila wanaendelea na maisha yao bila kuleta shida au vurugu.
Mimi sio mtu wa dini sana lakini ukiitukana dini yangu lazima nipanic.
Au wewe utakubali nikutukanie dini yako na mungu wako mkuu.
 
Dini sio kama mzazi ndio maana wengi tu wanahama dini au kuachana nazo kabisa.
Unajua maana ya personalization? na kuheshimu vya wengine?
Dini ni kama mama mzazi ni kitu very personal, au wewe unaweza kukubali nikutukanie mama yako mzazi hapa?
Utakaa chini na kusema utapata faida gani? je wewe hauna connection na emotions juu ya mama yako?

Wewe unaweza usiwe na connection kubwa na dini yako, lakini huyo ni wewe means heshimu vya watu.
Au mmekuzwa kutukana na kutoheshimu vya watu.
 
Porojo tu, blah blah. Hakuna mtu mwenye uzoefu wa kusoma psychology mwenye hoja dhaifu kama zako.
Mimi nina uzoefu wa kusoma psychology ya binadamu kwa miaka kadhaa.

Trust me mkuu napenda sana ugomvi wa ngumi na matusi lakini napata ukakasi na mashaka hasa nikiona mtu tena mwanaume mwenzangu anatumia sana maneno machafu yanayohusiana na wale mafala alafu hapo hapo awe anapinga na kuchukia waislamu.

Sababu hayo maneno siwezi hata kuyafikiria achilia mbali kuyaandika au kuyatamka, imenibidi niandike hayo sababu wewe ndio umeanzisha.

tatizo nini mkuu? why hayo matusi yamekaa sana mbele ya akili yako?
Be honest.
 
Okay mkuu....hawa ambao wako brain washed Wanamwamini mungu mmoja wa haki.....VP khs wewe unaye mwabudu mwanadamu mwenzako ambaye amezaliwa na mwanamke na kuamini kuwa Ni mungu! Nani yupo brain washed hapo? Have a respect brother usitafute umaarufu huku mitandaoni.

Haumini kuhus Uislamu just chill Tu....kwanini unateseka?
Mungu mmoja wa haki yupi, huyo anaewaagiza mchome watu visu awape mabikra 72? Kama anawaagiza mchome watu visu yeye anashindwa nini kuwachoma visu mwenyewe?

Kuchoma watu visu na kuua watu ndio haki? Eti dini ya haki, my foot.
 
Ukiwambia kua hii dini ina mistari ya kishetani wanakataa, wanasema ni dini ya amani. Amani gani hapo?

Ametukanwa mungu wewe unaumia, kwani wewe umekua Mungu uumie kutukanwa? Si mungu mwenyewe ashughulike na aliemtukana ama hawezi ndio maana inabidi binadamu wamsadie?

Dini nyingine bwana.
Dah
 
Mwandishi wa vitabu na makala maarufu Profesa Salman Rushdie amevamiwa na kuchomwa kisu akiwa kwenye mhadhara na anaedhaniwa kua ni muumini wa dini ya kiislamu huko New York.

Kwa Tusiofahamu Bwana Rudhdie ndie muandishi wa Kitabu cha Satanic Verses ambacho kinasema kua dini ya kiislamu na Quran imejaa mistari ya kishetani kwani kamba Quran iliandikwa na anaeitwa Mungu na kama ni Mungu basi ni kama amechanganyikiwa kabisa. Kwamba version ya Mungu wa kwenye Quran ni mungu aliechanganyikiwa.

Bwana Rushdie ana Fatwaa nyingi Duniani ikiwemo ya Kiongozi wa dini ya kiislamu nchini Iran Bw. Kohmein mwaka 1988 ya kutaka Rudhdie auwawe mahala popote atakapokua na kichwa Chake kipelekwe Iran. Hiii Fatwaa inamtaka muislamu yoyote mahala popote akimuoa Rudhie amuue.

Bado iko hai au tatari?
 
Ukitukaniwa mama unaapandwa na hasira ya kuua? Basi Kuna watu mna matatizo yasiyo ya kawaida. Kwa ulimwengu wa leo hii matusi yakutukaniwa mama yapo kila kona, si utaua mtaa mzima?
Ulimwengu unaoishi mnatukaniana mama zenu kila kona? Unaishi kwenye jamii isiyostaharabika na wavunja sheria.

Jamii zetu ninazozifahamu hakuna mtu anaweza kuja akaanza kutukana wazazi wako hovyo, jamii itamdhibiti au sheria itamuadhibu.

Lazima tujifunze kuheshimu imani za watu wengine hata kama haupendi. Uhuru ni pamoja na kuheshimu imani za watu wengine. Esp we Christian, hatutakiwi kutukana tukana imani za watu wengine.
 
Ulimwengu unaoishi mnatukaniana mama zenu na hakuna shida? Unaishi kwenye jamii isiyostaharabika na wavunja sheria. Jamii zetu ninazozifahamu hakuna mtu anaweza kuja akaanza kutukana wazazi wako hovyo, jamii itamdhibiti au sheria itamuadhibu.

Lazima tujifunze kuheshimu imani za watu wengine hata kama haupendi.
Huelewei vitu unavyojaribu unacholinganisha.
Mama yako ni halisi na anaweza kuthibitika, mambo mengi ya dini ni hadithi zisizo na uthbitisho kama za Abunuwasi.
 
Back
Top Bottom