Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ndugu yangu usitumie kiswahili pekee yake?Balaa kubwa hilo,
Katika vitu ambavyo mimi hueshimu sana ni Deen ya mtu, kwa sababu hii kitu mtu huanza kupandikizwa akiwa mtoto mdogo hivyo humkaa mwanadamu kisawasawa. Although I most likes Muslim women, for its good behave.
Unapochokoza nyuki pima madhara
Hapa Tanzania Wakati huo Lyatonga Mrema alikuwa Naibu Waziri mkuu alikipiga Ban Hiki Kitabu ilikuwa ukikutwa nacho ni sawa sawa ya kukutwa na mihadharati.
Hiyo ndio maana ya heshima ni kitu cha bure.
Dini kwa wengi ni kitu personal sana ukiitukana ni kama umemtukana yeye, mama yake, mwanae au mkewe.
Mkuu mimi nikikutukania mama yako tusi zito utakubali nitembee kifua mbele kwamba mimi ni mbabe kisa tu Mungu ameniruhusu kuishi?
Fikiria hilo swali kwa makini.
Mimi sio mtu wa dini sana lakini ukiitukana dini yangu lazima nipanic.
Au wewe utakubali nikutukanie dini yako na mungu wako mkuu.
Unajua maana ya personalization? na kuheshimu vya wengine?
Dini ni kama mama mzazi ni kitu very personal, au wewe unaweza kukubali nikutukanie mama yako mzazi hapa?
Utakaa chini na kusema utapata faida gani? je wewe hauna connection na emotions juu ya mama yako?
Wewe unaweza usiwe na connection kubwa na dini yako, lakini huyo ni wewe means heshimu vya watu.
Au mmekuzwa kutukana na kutoheshimu vya watu.
Mwenye soft copy ya kitabu hicho atupie humu tukisome tuone kama ubaya wowote, isije kuwa chuki binafsi.
Sikia wewe Dini uwezi kuifananisha na mtu au kitu dini ndio muongozo halisi wa binadamu iashije uyo mama unayemsema na yeye anafuata iyo dini unaweza kumkana mama yako mzazi au baba lakini siyo dini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina uzoefu wa kusoma psychology ya binadamu kwa miaka kadhaa.
Trust me mkuu napenda sana ugomvi wa ngumi na matusi lakini napata ukakasi na mashaka hasa nikiona mtu tena mwanaume mwenzangu anatumia sana maneno machafu yanayohusiana na wale mafala alafu hapo hapo awe anapinga na kuchukia waislamu.
Sababu hayo maneno siwezi hata kuyafikiria achilia mbali kuyaandika au kuyatamka, imenibidi niandike hayo sababu wewe ndio umeanzisha.
tatizo nini mkuu? why hayo matusi yamekaa sana mbele ya akili yako?
Be honest.
Mungu mmoja wa haki yupi, huyo anaewaagiza mchome watu visu awape mabikra 72? Kama anawaagiza mchome watu visu yeye anashindwa nini kuwachoma visu mwenyewe?Okay mkuu....hawa ambao wako brain washed Wanamwamini mungu mmoja wa haki.....VP khs wewe unaye mwabudu mwanadamu mwenzako ambaye amezaliwa na mwanamke na kuamini kuwa Ni mungu! Nani yupo brain washed hapo? Have a respect brother usitafute umaarufu huku mitandaoni.
Haumini kuhus Uislamu just chill Tu....kwanini unateseka?
Mungu kwani sio mkali unakumbuka sodoma na gomola walichofanywa?Dini ya visasi...
Mungu angekua mkali kama watu wale...hakuna mwanadamu angetoboa
Na ndio maana nyinyi mungu wenu mlishindwa kumpgania mnashuhudia Kwa macho yenu anasulubiwa mpaka akabaki na chupi mnataka apambane mwenyewe siana uwezoHaya ni majinga Sana! Unampigania Mungu, yeye hana uwezo?
Dini inatoa agizo mtu auawe?Mungu mwenyewe aliyedhalilishwa amemruhusu aishi, sasa mbona watu baki wanajichukulia sheria mkononi!?
DahUkiwambia kua hii dini ina mistari ya kishetani wanakataa, wanasema ni dini ya amani. Amani gani hapo?
Ametukanwa mungu wewe unaumia, kwani wewe umekua Mungu uumie kutukanwa? Si mungu mwenyewe ashughulike na aliemtukana ama hawezi ndio maana inabidi binadamu wamsadie?
Dini nyingine bwana.
Bado iko hai au tatari?Mwandishi wa vitabu na makala maarufu Profesa Salman Rushdie amevamiwa na kuchomwa kisu akiwa kwenye mhadhara na anaedhaniwa kua ni muumini wa dini ya kiislamu huko New York.
Kwa Tusiofahamu Bwana Rudhdie ndie muandishi wa Kitabu cha Satanic Verses ambacho kinasema kua dini ya kiislamu na Quran imejaa mistari ya kishetani kwani kamba Quran iliandikwa na anaeitwa Mungu na kama ni Mungu basi ni kama amechanganyikiwa kabisa. Kwamba version ya Mungu wa kwenye Quran ni mungu aliechanganyikiwa.
Bwana Rushdie ana Fatwaa nyingi Duniani ikiwemo ya Kiongozi wa dini ya kiislamu nchini Iran Bw. Kohmein mwaka 1988 ya kutaka Rudhdie auwawe mahala popote atakapokua na kichwa Chake kipelekwe Iran. Hiii Fatwaa inamtaka muislamu yoyote mahala popote akimuoa Rudhie amuue.
Ni kati ya dini za mwilini hiyo na ndiyo maana mungu wao anapambaniwa na wanadamu ila Mungu kamwe hapambaniwi na watu maana yeye ni juu ya vyote baada yake hakuna mwingine.Mungu analindwa na wanadamu
Ulimwengu unaoishi mnatukaniana mama zenu kila kona? Unaishi kwenye jamii isiyostaharabika na wavunja sheria.Ukitukaniwa mama unaapandwa na hasira ya kuua? Basi Kuna watu mna matatizo yasiyo ya kawaida. Kwa ulimwengu wa leo hii matusi yakutukaniwa mama yapo kila kona, si utaua mtaa mzima?
Huelewei vitu unavyojaribu unacholinganisha.Ulimwengu unaoishi mnatukaniana mama zenu na hakuna shida? Unaishi kwenye jamii isiyostaharabika na wavunja sheria. Jamii zetu ninazozifahamu hakuna mtu anaweza kuja akaanza kutukana wazazi wako hovyo, jamii itamdhibiti au sheria itamuadhibu.
Lazima tujifunze kuheshimu imani za watu wengine hata kama haupendi.