baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
[emoji23][emoji23][emoji23] shikamoon waanzisha dini sijui kama mlitegemea kama dini zenu zingehangaisha watu hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni mojawapo ya ujinga wa dini ya kiislamu..Fatwaa ikishawekwa hairudi nyuma abadan!, Allahu akber!
Sina Muda huo wa Kufanya uchambuzi Kwa sababu Kuna watu walishafanya My Next Thirty Years na Hakuna majibu yoyote mliyoyatoa kwenye Huo uziHuyo mwana Mama atapewa sifa kwa kupika chai yake vizuri tu.
Kuna mdau humu anajiita Dumas the terrible alidai kwamba siku ya kujua jinsi Uislamu ulivyobuniwa na kanisa na yaliyokuwa nyuma ya pazia nitapigwa kitu kizito sana ,nikaampa kazi kama anajiamini aanzishe mjadala huru aweke evidence na uchambuzi wa hiko kitabu na mengineyo moja baada ya moja ili afichue ukweli na Waislamu tujue kwa sharti la kutoa ushirikiano wa maswali na hoja atakazo ulikuzwa lakini hakuweza mpk leo hakufanya hiyo Kazi.
Na wewe nakupa kazi hiyo Weka uzi unaohusu uchambuzi wa hoja za hicho kitabu tupate maarifa.
Matusi yanatoka wapiWe shoga unaongea Nini hapo,
Ngoja nitafute huo uzi niupitie.Sina Muda huo wa Kufanya uchambuzi Kwa sababu Kuna watu walishafanya My Next Thirty Years na Hakuna majibu yoyote mliyoyatoa kwenye Huo uzi
Chukua bia hapo kwa mangi, ushalipiwa.Unavyo jibu unaonekana kabisa bi muislamu safi
Ila kusema kweli Alie andika Koran ni mjinga Sana , Yani ukisoma Haina mtiriko ni kaweka verse kwa kuokoteza verse na verse haviendani Yani yeye kila kikimjia kitu kichwani anakichomeka ,akiulizwa swali anajibu kwa kuchomeka Aya , alionekana kaiba chupi akachomeka aya inasema hajaiba Yani full ujinga
Kwanini unachukia waislamu?Ukiambiwa mama malaya na kweli ni malaya ndio upaniki...huo utakua ni upungufu wa akili..hii dini ni dini ya waliokosa akili..wengi wamejazwa ujinga na upuuzi.
Ndio ambayo sio salama kwa dunia hii ya sasa..inapaswa iangaliwe kwa umakini mkubwa sana..kila ilipo hii dini hakuna amani...kama ipo basi kinafiki.
#MaendeleoHayanaChama
Only if you mess with me.Porojo tu, blah blah. Hakuna mtu mwenye uzoefu wa kusoma psychology mwenye hoja dhaifu kama zako.
Well bila shaka hakuna sehemu nimesema nitaua mtu, lakini lazima nitataka kujua kwanini.Ukipanic hakuna tatizo, ila ukianza kushambulia na kuua watu ndipo kunakuwa tatizo. Watu wengi tu wakiona mtu anakula kitimoto, mbwa au bia wanapanic ila wanaendelea na maisha yao kwa amani.
Wahindu wengi wakiona unakula nyama ya ng'ombe wanapanic ila wanaendelea na maisha yao bila kuleta shida au vurugu.
Nonsense according to your half a brain? didn't expect any less did I?Nonsense
Hilo sina uhakika.Naona Allah wako anafurahi na kugonga cheersckwa hili pambano unalompigania.
The root of lie is very short.Jamaa ata wakiambiwa Muhammad kaoa mtoto wanataka kuua mtu aliesema wakati maandiko yao yapo wazi muhammad kaoa mtoto Aisha wa miaka 6
Yani unawaambia waliyo andika wanakasirika kwa kuwambia
Sijali nini kimemtokea huyo jamaa sababu kila mtu atakula alichokitafuta.Humu duniani Kuna watu wa aina nyingi na hilo litakuwepo daima!
Sasa ikitokea mtu ambaye hajastaarabika akakutukania mama Yako au dini Yako,ndio ukamuue?
Ukishakiwa Hela akili ikakurudi ndio utajua hujui!
Kama dini Yako imedhalilishwa au umetukanwa,Kuna vyombo vya haki unaweza kwenda kushtaki na haki ikapatikana!Haya mambo ya kujichukulia sheria mkononi ni hatari sana Kwa ustawi wa jamii!
Siungi mkono dini kukashifiwa,ila pia siungi mkono watu kujichukulia sheria mkononi Kwa kigezo Cha kuipigania dini!
Unaona sasa?mbona nyiny mnachinja watu au hukuona huko kitaya ? au ndo dish limeyumba
Mimi sio mtu wa dini sana lakini ukiniattack personally kama upo karibu basi jihesabie meno matatu ya mbele hayapo.hahahaaaa mvaa kobaz grade1 povu limetoshaaa aseeee
Sema babu yako, sio babu zetu.Hata mababu zetu walipigwa mijeredi ama kuuawa na waarabu kisa hawakumkubali Allah
Kwani babu yako alizaliwa miaka ya 80 hadi asijumuishwe ktk lile kundi la wahanga waliosumbuliwa na waarabu?Sema babu yako, sio babu zetu.
Hiyo dini yenu ya kulazimishana kwa upanga ili kuiamini ni ya kutilia mashaka, nawaagiza Waislamu wote hilo nalo mkalitizame[emoji380][emoji380][emoji848][emoji848]
punguza munkar mkuu kutokujuw kiswahili haibadili ukwel , jibu kwa hoja zeny utimamu sio kuikimbia mada"Wakolof "ndio nini akili unazo kweli kiswahili tu shida kuandika je article ya kingereza utaweza kusoma kweli ?
Sahihi kuweka 'r' isomeke wakorofi