ndio maana nakuuliza kama wasingekuwa wanaanza kushambulia waisrael lin wangepoteza hayo makazi yao ? raia wapumbav sana wanatumika kufanya mashambuliz dhidi ya waisrael halaf unategemea ukidhibitiwa hayo maeneo uachiwe ili urudi tena kushambulia ? tangu 1948 Israel ilipotaka kuundwa wapalestine walipewa ofa ya kuunda nchi moja na waisrael ila ubaguz wao na umimi umewafanya mpk leo wenzae wamekuwa moja kati ya mataifa makubwa na imara ASAI huku wao wakiwa wakutanga tanga tu , kwa akili za wapalestina basi na sisi huku tuanze kuwatimua hawa waarabu , wahindi na wachina walitapakaa huku k/koo maana hapa ni kwetu , si ndo mnataka tuishi kinamna hiyo ? au wale makaburu wa afrika kusini watimuliwe ? au wale watu weusi wa amerika na ulaya watimuliwe ? WAPALESTINE NI WABAGUZI NA UBAGUZI WAO NDIO UNAWATESA SIKU WAKISTUKA NA KUTAMBUA SISI WOTE NI WAMOJA BASI WATAISHI VIZURI SANA MAANA MALENGO YAO NI VIGIMU KWA DUNIA YA LEO TUMEINGILIANA SANA NA HAKUNA MWENYE ENEO TENA