Mwanza: Akutwa amekufa pembeni kukiwa na ujumbe ‘mke wa mtu ni sumu’

Mwanza: Akutwa amekufa pembeni kukiwa na ujumbe ‘mke wa mtu ni sumu’

Kwenye maisha yako usiguse mke wa mtu, hata usipogundulika lakini vita yake kiroho itakugharimu tu one day labda ufanye toba ya kweli. Kiapo cha mke wa ndoa iwe kanisani, msikitini au popote ni hatari hatari hatari kuingilia ukiwa unafahamu
Mkuu nimekula Sana wake za watu ngoja niache.... Ila wao ndo wanazingua kinoma noma
 
Hakuna mantiki ya kumdhuru au kumtoa roho mgoni wako zaidi ya kukaza roho na kuachana na huyo uliyekuwa ukidhani ni mpenzi wako.......maisha lazima yaendelee....
 
Huwa ninawambia watu hiki kitu wananiona mjinga, ukioa mke alafu akachepuka achana nae wala hata ukimkuta kitandani kwako na jamaa wewe toka nje alafu rudi baadae mwambie aondoke, kuliko kumuua mtu alafu unaishia jela
Kweli haina maana yoyote unafungwa kwa mambo ya kijinga
 
Unaweza pata jamaa kajiua mwenyewe "suicide" baada ya kuvunjiwa yai kwenye uwemba...
 
Hapo mwenyewe mke ni sawa amejiua yeye mwenyewe.
Anaenda jela kwa kosa la mauaji na kifungo chake ni maisha au kunyongwa.
Utakuwa umefanya nn? Unaenda kunyea kwenye ndoo kisa mwanamke? Amemuacha uraiani huyo mke. Ngoja wamzalishe sasa
Mpaka sasa huyo mke atakuwa ameshapata bwana.
Hapa dunia unatakiwa utumie akili na siyo hisia.
Huo utopolo siwezi kufanya. Ngoja akale ugali wa kengele
"Kando ya mwili wa marehemu kulikutwa ujumbe uliosomeka kuwa 'mke wa mtu ni sumu' watuhumiwa wanahojiwa na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani,"

Umebaki wewe
 
"Kando ya mwili wa marehemu kulikutwa ujumbe uliosomeka kuwa 'mke wa mtu ni sumu' watuhumiwa wanahojiwa na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani,"

Umebaki wewe
Hata Mimi nimependa coment yako
 
Huwa ninawambia watu hiki kitu wananiona mjinga, ukioa mke alafu akachepuka achana nae wala hata ukimkuta kitandani kwako na jamaa wewe toka nje alafu rudi baadae mwambie aondoke, kuliko kumuua mtu alafu unaishia jela
Pia ukiona mke wa mtu ni mtamu ogopa.
 
Unajua hukumu ya kumlawiti mgoni wako?
Akienda kukushitaki unachezea mvua 30.
Huyo jamaa ngoja akanyee debe halafu mke wake ambaye alikuwa anamchunga, apigwe mashine
Mpaka sasa tayari huyo mwanamke ameshapata bwana mpya.
Watu hawajui hata kutumia akili walizozaliwa nazo.
Ukiona mkeo analiwa, ujue. Ametaka yeye
Unaweza pata jamaa kajiua mwenyewe "suicide" baada ya kuvunjiwa yai kwenye uwemba...
 
Haha sema jamaa alitaka kutoa onyo nafundisho mwishowe yeye ndio kawa mfano wa kuigwa sasa
 
Kwenye maisha yako usiguse mke wa mtu, hata usipogundulika lakini vita yake kiroho itakugharimu tu one day labda ufanye toba ya kweli. Kiapo cha mke wa ndoa iwe kanisani, msikitini au popote ni hatari hatari hatari kuingilia ukiwa unafahamu
Ila kiapo cha mume hakina madhara sio?.
 
Kwenye maisha yako usiguse mke wa mtu, hata usipogundulika lakini vita yake kiroho itakugharimu tu one day labda ufanye toba ya kweli. Kiapo cha mke wa ndoa iwe kanisani, msikitini au popote ni hatari hatari hatari kuingilia ukiwa unafahamu
Huu ni ukweli mtupu
 
Wake za watu nao waache kujirahisisha sana!
Utakuta Marehemu alianza kutongozwa yeye na huyo mke wa mtu!Kila abiria achunge kago yake
 
Back
Top Bottom