Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni rahisi kweli. Wajinga sana.Hao jamaa waliotekeleza ili tukio ni wajinga. Inamaana hawakujua kama huo ujumbe walioacha ndio itakuwa starting point ya uchunguzi?
Mwanamke hawezi kuwa na wivu kama mwanaume coz zaidi ya sex hakuna anachotoa ...So hana cha kupoteza ... Ila kwa Upande wa mwanaume...Yeye ndo anajukumu la kusimamia kila kitu , Financial... decision ...na mambo mengi...Mwanamke anasubiri kuongozwa tuu
Mkuu huu ujumbe wako nimeurudia karibu mara 3 lakini bado nimetoka kapa naomba unieleweshe kidogo iyo vita ya kiroho na mke wa mtu ni ipi?Kwenye maisha yako usiguse mke wa mtu, hata usipogundulika lakini vita yake kiroho itakugharimu tu one day labda ufanye toba ya kweli. Kiapo cha mke wa ndoa iwe kanisani, msikitini au popote ni hatari hatari hatari kuingilia ukiwa unafahamu
Utoto raha sana, ushawahi kwenda kutembelea mtu Gerezani? Utapata wapi mda wa kumshika huyo mwanamke kiuno au kumnyonya mate, jaribu siku kwemda Segerea au Ukonga then leta mrejesho humuIli kumjulisha alichofanya ni utopolo.
Ningekuwa karibu, naenda kumtongoza huyo mke wa jamaa. Na siku ya hukumu, naenda naye huku nimemshika kiuno.
Siku akiwa jela, tunaenda kumsalimia jamaa, halafu mbele yake nampiga busu na kumnyonya mate mbele yake. Ili ajue alichokifanya ni utopolo kbsa
Unakuta kauwawa na jamaa kwenye kudhulumiana n.k"Kando ya mwili wa marehemu kulikutwa ujumbe uliosomeka kuwa 'mke wa mtu ni sumu' watuhumiwa wanahojiwa na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani,"
Umebaki wewe
mkuu hasira ni lazima ila ndio hivo inahitaji uvumilivu. bila kuvumilia mvua za maisha zinakushukia.mimi sijui ni kwa sababu ya kusoma matukio mengi huku mitandaoni nimejikuta naepuka hasiraMkuu,naomba useme amen,jipige ngumi kifuani sema Mimi ni mwamba! Hua unajikuta ushafanya tukio zito,bila yakutarajia,sema labda kama kuna mtu mwingine akuzuie! Kaka acha kabisa,hua kuna hasira za ajabu zinakuja kama mbongo aliyekoswa na mshale
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina shida, kiapo ni kitu hatari sana nduguIla cha mume wa mtu hakina shida sio
Cheti cha ndoa ni hati milikiUjinga huu utawafanya muishie jela!! Kwani uliikatia hati miliki?
Siku ukidakwa utagundua kumbe hata wewe utamu unaoNa mke wa mtu ni mtamu
Siku ukidakwa utagundua kumbe hata wewe utamu unao
Cheti cha ndoa ni hati miliki
Utoto raha sana, ushawahi kwenda kutembelea mtu Gerezani? Utapata wapi mda wa kumshika huyo mwanamke kiuno au kumnyonya mate, jaribu siku kwemda Segerea au Ukonga then leta mrejesho humu
😂 😂 😂 Saivi ni mwendo wa kuwaua tu na kuacha message
Ant poisonNa mume wa mtu je
Yaani muuaji hapo kauza kesiUnakuta kauwawa na jamaa kwenye kudhulumiana n.k
Ila sasa muuaji anataka aweke ugum wa upelelez anaamua kuacha ujumbe huo.
😂 😂 Muda mwingine inabidi uwe kipofuItakuwa safi sana maana utakuwa unatuachia mke. Tunampelekea moto
Ww huko jela, umekaa juu ya ndoo unakunya
Unafikiri watu wanamimd kwa sababu mke kaliwa basi? Dharau za anayemla huyo mke wake. Mtu anaona bora nifie jela ila huyu lazima nimpe majibu.Unajua hukumu ya kumlawiti mgoni wako?
Akienda kukushitaki unachezea mvua 30.
Huyo jamaa ngoja akanyee debe halafu mke wake ambaye alikuwa anamchunga, apigwe mashine
Mpaka sasa tayari huyo mwanamke ameshapata bwana mpya.
Watu hawajui hata kutumia akili walizozaliwa nazo.
Ukiona mkeo analiwa, ujue. Ametaka yeye
Na usiombe uwe Mume wa Demu huyo..alafu kwenye kumbukumbu, ionyeshe uliwahi mtafuta marehem, kwa vitishoYaani muuaji hapo kauza kesi