Mkuu nimekula Sana wake za watu ngoja niache.... Ila wao ndo wanazingua kinoma nomaKwenye maisha yako usiguse mke wa mtu, hata usipogundulika lakini vita yake kiroho itakugharimu tu one day labda ufanye toba ya kweli. Kiapo cha mke wa ndoa iwe kanisani, msikitini au popote ni hatari hatari hatari kuingilia ukiwa unafahamu
[emoji23][emoji23][emoji23] anasema tu huyo hayajamkuta... Akitaka kujua akute hata meseji tu ya mkewe akisifiwa na jamaa lingine jinsi anavikata uno dadekiWe muongo tu
Kweli haina maana yoyote unafungwa kwa mambo ya kijingaHuwa ninawambia watu hiki kitu wananiona mjinga, ukioa mke alafu akachepuka achana nae wala hata ukimkuta kitandani kwako na jamaa wewe toka nje alafu rudi baadae mwambie aondoke, kuliko kumuua mtu alafu unaishia jela
Bado nawakumbusha mke wa mtu ni sumu
"Kando ya mwili wa marehemu kulikutwa ujumbe uliosomeka kuwa 'mke wa mtu ni sumu' watuhumiwa wanahojiwa na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani,"
Umebaki wewe
Hata Mimi nimependa coment yako"Kando ya mwili wa marehemu kulikutwa ujumbe uliosomeka kuwa 'mke wa mtu ni sumu' watuhumiwa wanahojiwa na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani,"
Umebaki wewe
Pia ukiona mke wa mtu ni mtamu ogopa.Huwa ninawambia watu hiki kitu wananiona mjinga, ukioa mke alafu akachepuka achana nae wala hata ukimkuta kitandani kwako na jamaa wewe toka nje alafu rudi baadae mwambie aondoke, kuliko kumuua mtu alafu unaishia jela
Unaweza pata jamaa kajiua mwenyewe "suicide" baada ya kuvunjiwa yai kwenye uwemba...
Ila kiapo cha mume hakina madhara sio?.Kwenye maisha yako usiguse mke wa mtu, hata usipogundulika lakini vita yake kiroho itakugharimu tu one day labda ufanye toba ya kweli. Kiapo cha mke wa ndoa iwe kanisani, msikitini au popote ni hatari hatari hatari kuingilia ukiwa unafahamu
Ujinga huu utawafanya muishie jela!! Kwani uliikatia hati miliki?Vijana acheni ujinga, mke wa mtu sumu.
Mume wa Mtu MaziwaBado nawakumbusha mke wa mtu ni sumu
Huu ni ukweli mtupuKwenye maisha yako usiguse mke wa mtu, hata usipogundulika lakini vita yake kiroho itakugharimu tu one day labda ufanye toba ya kweli. Kiapo cha mke wa ndoa iwe kanisani, msikitini au popote ni hatari hatari hatari kuingilia ukiwa unafahamu