Mwanza: Akutwa amekufa pembeni kukiwa na ujumbe ‘mke wa mtu ni sumu’

wapo serious na maisha
 
Kumbe siku hizi ndo wanawatamatisha kwa kuacha ka ujumbe ka kwaberi kuwa "MKE WA MTU SUMU"
 
Huwa ninawambia watu hiki kitu wananiona mjinga, ukioa mke alafu akachepuka achana nae wala hata ukimkuta kitandani kwako na jamaa wewe toka nje alafu rudi baadae mwambie aondoke, kuliko kumuua mtu alafu unaishia jela
Ni ushauri mzuri. Lakini siyo wakati wote inakuwa hivyo. Wakati mwingine unaweza kuwa na rafiki yako na anajua kabisa yule ni mke wako lakini anajitahidi mpaka anatembea naye! Na mbaya zaidi unaweza kukuta ametumia power ya fedha ambayo wewe huna! Hapo ni lazima nitamfundisha adabu. Ila sitatumia hasira. Nitaamwacha mwanamke kwa uzuri tu na baadae nitamtengenezea plani.
 
😂 😂 😂
 
Ili kumjulisha alichofanya ni utopolo.
Ningekuwa karibu, naenda kumtongoza huyo mke wa jamaa. Na siku ya hukumu, naenda naye huku nimemshika kiuno.
Siku akiwa jela, tunaenda kumsalimia jamaa, halafu mbele yake nampiga busu na kumnyonya mate mbele yake. Ili ajue alichokifanya ni utopolo kbsa
Hahahaha hapo ndipo unatakiwa ufikiri kabla ya kutendaa
 
😂 😂 😂 Mkuu hawa wanawake ukiwafumania ni bora muachane kuliko kufanya maamuzi magumu mwisho unajikuta hatarini mwenyewe
 
Unaacha watoto, ndugu zako, mali zako ulizozihangaikia miaka yote pamoja na kazi kwasbb ya mwanamke uliyemkuta ukubwani. Cha ajabu kbl yako alikuwa na boyfriend wake wanakulana. Huyo jamaa fala sana
😂 😂 😂 Mkuu hawa wanawake ukiwafumania ni bora muachane kuliko kufanya maamuzi magumu mwisho unajikuta hatarini mwenyewe
 
Mwamba nakukubali sana ka mke kicheche achana naye utadili na wanaume wangapi ka mkeo mama huruma...

Ukifumania piga moyo konde chapa lapa jiweke bize tafuta kidemu cha kumbato wakati una recover..

Inauma sema ukikaza linapita kama kufuwa vile
 
Wanawake wangekua na wivu wa kimapenzi kama wanaume sijui nini kingetokea

Pole kwa wafiwa na muuaji maana atapatikana tuu, heri angeachana na huyo mwanamke kuliko kufia jela
Zizini dume moja majike mengiiii na Wala hayagombani, ila hata Kama Kuna majike mengi lete dume lingine zizini uone Vita Yake.
NI tabia ya asili tuwagonge wengi.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
MwanaFA ashatoa ushauri mzuri tu wa haya mambo sijui kwa nini watu bado wanauana

na we tafuta mnyonge wako um...
 
Hao jamaa waliotekeleza ili tukio ni wajinga. Inamaana hawakujua kama huo ujumbe walioacha ndio itakuwa starting point ya uchunguzi?
Kwenye issue ya mauaji huwa pamejificha mambo mengi sana.Na huenda waliandika huo ujumbe " mke wa mtu ni sumu" ili kupindisha tu kusudio la mauaji hayo.
 
Unatetea nini, angeweza kupiga nae selfie vilevile kuchapiwa kunauma,
Bado ni fikirishi ... Kama kauliwa na wahuni tu wakaamua kutia bosheni kwa kuandika kikaratasi na kukitupa !!?? Mme gani huyo aandike hivyo baada ya mauaji !!!?? Si anakuwa amejilengesha !!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…