Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Mkuu akili yako mixer kinyesi
 
Ndip maana tunaitaka Katiba mpya ili iweze kukomesha huu uhuni.
Hamuwezi ipata sababu hawatakaa wawape wao wananufaika na huo uhuni! Maamuzi ya kiume ni kuputa mchanga na kukiwasha tu kama Mwembe chai😅😅😅 mwaka 1996
 
Vijana wana cha kujifunza kutoka kwa hawa Wazalendo Dr. Lwaitama na huyo Askofu Mwamakula!

Katiba Mpya ndiyo mwarobaini wa huu upuuzi wa kila aina tunaofanyiwa na ccm wakishirikiana na mipoliccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…