Tumbiliwaulaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 280
- 435
kwa sababu gani?Si nimesikia lilikuwa limezuiliwa na jeshi la Polisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa sababu gani?Si nimesikia lilikuwa limezuiliwa na jeshi la Polisi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] utatukanwa weweHaya faster, twende Twitter kupush hashtags.
#FreeLwaitama
#FreeMwamakula [emoji1787][emoji1787]
Hukuwahi kusoma habari za Askofu Desmond Tutu,Maaskofu wa DRC na utata wa Rais Kabila,UASKOFU NI KUSIMAMIA HAKI SIO KUZIBA MACHO.Uaskofu umekuwa uanasiasa
Hakuna askofu pale
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na unajivunia nchi ambayo mahabusu wananyonywa vinyesi BADARA ya kutendewa haki?
Amandla...
Chadema huu upuuzi wa kukataa amri mtaishia kubaya
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Tena ukiunganisha na huu ujambazi wao tozo za kitapeli itakua ni [emoji91]Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
NA HIYO NDIO HAKI ILIYOWEKWA NA KATIBA?Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.
CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Yaani acha tu..!Tena ukiunganisha na huu ujambazi wao tozo za kitapeli itakua ni [emoji91]
Tutende hakiTutii sheria..
Acha kukurupukaNA HIYO NDIO HAKI ILIYOWEKWA NA KATIBA?
Acha wanyonywe vinyesi kwani wao wanatutendea haki kutuacha tupambane na umasikini wenyewe? Au haujui umasikini ni adui wa taifa? Watu tupo busy kupigana na umasikini uchumi ukue wao wako busy kututoa kwenye reli...Na unajivunia nchi ambayo mahabusu wananyonywa vinyesi BADARA ya kutendewa haki?
Amandla...
Sasa wwe endelea na ubishi wako!!Kutoka kifungu gani, ibara ya ngapi?
Chadema huu upuuzi wa kukataa amri mtaishia kubaya
USSR
Gwajima kagombea ubunge,na yeye akitaka agombee!!Gwajima anafanya nini siku hizi?
Wapi nimesema ni mkutano wa ndani? Mkutano wa ndani ni nini?Sio kweli.
Na sio straight hivyo.
Inaweza ikawa haki ya kikatiba lakini haiko wazi na jumla jumla. Katiba ni sheria mama lakini zipo taratibu na kanuni zinazoendesha sheria hizo.
Wakati wewe unaona ni mkutano wa ndani na hivyo huhitaji kibali wala ulinzi wa polisi, polisi nao wanakuja na hoja kuwa kazi yetu ni kulinda raia na mali zao, wanawezaje kupata uhakika kuwa mkutano huo hauna athari kwa watu wengine wasiohusika na mkutano (au/hasa maandamano) huo? Wao sasa kutumia hoja hiyo wana rule out haki unayosema huhitaji ulinzi kwa sababu hautakuwa peke yako mtakuwa wengi na huna namna ya kuwathibitishia huhitaji ulinzi ambao ni kazi yao ya msingi maana ulinzi wanaotoa ni wajibu wao na sio kwa kuangalia raia anahitaji au hahitaji maana usalama unaanza na mtu, kikundi, mtaa mpaka inafika unaitwa usalama wa taifa. Ni mawazo tofauti tu.
Sheria za kidhalimu?Tutii sheria..
Ebbo, unaendeleza mediocrity na imbecility hapa!?Fanyeni basi bila kibali cha polisi
Sasa matusi ya nini teheteheee
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Mkoloni ni nani hapo, bado mnakoloniwaHata Nyerere na TANU waligomea amri za kihuni za wakoloni.