Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.

Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.

Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Tena ukiunganisha na huu ujambazi wao tozo za kitapeli itakua ni [emoji91]
 
Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.

Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.

CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
NA HIYO NDIO HAKI ILIYOWEKWA NA KATIBA?
 
Na unajivunia nchi ambayo mahabusu wananyonywa vinyesi BADARA ya kutendewa haki?

Amandla...
Acha wanyonywe vinyesi kwani wao wanatutendea haki kutuacha tupambane na umasikini wenyewe? Au haujui umasikini ni adui wa taifa? Watu tupo busy kupigana na umasikini uchumi ukue wao wako busy kututoa kwenye reli...
 
Sio kweli.
Na sio straight hivyo.
Inaweza ikawa haki ya kikatiba lakini haiko wazi na jumla jumla. Katiba ni sheria mama lakini zipo taratibu na kanuni zinazoendesha sheria hizo.
Wakati wewe unaona ni mkutano wa ndani na hivyo huhitaji kibali wala ulinzi wa polisi, polisi nao wanakuja na hoja kuwa kazi yetu ni kulinda raia na mali zao, wanawezaje kupata uhakika kuwa mkutano huo hauna athari kwa watu wengine wasiohusika na mkutano (au/hasa maandamano) huo? Wao sasa kutumia hoja hiyo wana rule out haki unayosema huhitaji ulinzi kwa sababu hautakuwa peke yako mtakuwa wengi na huna namna ya kuwathibitishia huhitaji ulinzi ambao ni kazi yao ya msingi maana ulinzi wanaotoa ni wajibu wao na sio kwa kuangalia raia anahitaji au hahitaji maana usalama unaanza na mtu, kikundi, mtaa mpaka inafika unaitwa usalama wa taifa. Ni mawazo tofauti tu.
Wapi nimesema ni mkutano wa ndani? Mkutano wa ndani ni nini?

Polisi probable cause yao kuingilia mkutano wa watu ni ipi?

Reasonable suspicion wanai establish vipi?
 

Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya

Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya

Pia soma

Uzuri wa ujinga wao ni kuwa kwa kila tukio la namna hii ndipo nia yetu ya kudai katiba mpya inavyozidi kukua zaidi.

Inafahamika kuwa bila ya kukabiliana na majahili hawa kwa kuingiana nao maungoni vilivyo, halipo lenye tija litakalopatikana.
 
Back
Top Bottom