?Kwanini wasilitumie na limeshajengwa?Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Hapa ndo umejibu swali langu? Nalirudia, hawalipi kodi iliyotumika kujenga hilo daraja?Sasa kwa nini wapinge kodi kutumika kujenga hilo daraja hao Chadema kama sio upunguani na utaahira wa akili ni nini?
Yaani walikuwa wanapinga kama mabwege hawajui umuhimu wa hilo daraja
Kanda ya ziwa ndio wanajua vizuri mno umuhimu wake
Chadema hilo daraja kukamilika wasahau kushinda kanda ya ziwa sababu walipinga hadharani lisijengwe impact wataiona kwenye chaguzi kitakachowakuta wataamkia shikamoo daraja la Magufuli
Wapi walipinga ? Weka ushahidi, siyo mpuuzi mmoja akianzisha mada hata ya kipumbavu wote mnakimbilia kusapoti ujinga wake kwa vile tu ni chawa mwenzenu.Sasa kwa nini wapinge kodi kutumika kujenga hilo daraja hao Chadema kama sio upunguani na utaahira wa akili ni nini?
Yaani walikuwa wanapinga kama mabwege hawajui umuhimu wa hilo daraja
Kanda ya ziwa ndio wanajua vizuri mno umuhimu wake
Chadema hilo daraja kukamilika wasahau kushinda kanda ya ziwa sababu walipinga hadharani lisijengwe impact wataiona kwenye chaguzi kitakachowakuta wataamkia shikamoo daraja la Magufuli
Bila past, present haiwezi kuwa na nguvu ni kama uongo na ukweli vitu 2 hivyo vinategemeana.Yaliyopita si ndwele tugange yaliyopo cha msingi daraja limejengwa
Mavi ya kale hayanuki
Mimi binafsi hujikita kwenye present na future sio past
Nashukuru Mungu sana somo la History, the study of past human events kidato cha nne mtihani wa form four taifa History nilipata F
Siko interest kabisa na past ni muumini wa present and future
Somo la History lifutwe mashuleni na vyuoni
Hana akili ya kutosha kujibu swali lako, akili yake ni ya kidhalim tu kama ya huyo anayempigia debe hapa.?Kwanini wasilitumie na limeshajengwa?
Kwani Mgufuli alijenga kwa [pesa zake mfukoni?
Vyama vya siasa ni lazima vishindane kisiasa, kila mmoja anjimwambafai kwa wananchi ili wampe ulaji.
Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazimu
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuhaTunahitaji maendeleo ya watu sio ya vitu..
Hii kauli bila shaka ilitolewa na Lissu
Hawa wa humu usiwalaumu, ni nyumbu wafuata upepo
Leo Lissu akibadili kauli nao watafuata
Jifunze kumhusu NYUMBU utawaelewa vijana wa Chadema.
Kwa jinsi alivyo umiza wengi, hatasaulika kama Hitler!Shujaa Magufuli atakumbukwa Milele [emoji257]
Wanasema wao akili kubwa...!! Ha ha ha aaa!Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazimu
Na yaliyofanywa past na waliopita, ndo imefanya wafanye haya ya sasa..!!! Vinginevyo ingebidi wayafanye yale ya past leo..!!Bila past, present haiwezi kuwa na nguvu ni kama uongo na ukweli vitu 2 hivyo vinategemeana.
Na huko aliko analipa kwa uovu aliofanya hapa dunianiKwa jinsi alivyo umiza wengi, hatasaulika kama Hitler!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Inaonekana hujawshi kufika mkoa wa mwanza na kanda ya ziwa yote. hili daraja halina uhusiano wowote na usafirishaji wa samaki coz ziwa lipo hapo hapo mwanza mjini na daraja lipo nje ya mji. Na kutoka mwanza kuja dar hupiti kwenye hilo darajaSafi sana sasa dagaa na samaki sato zishuke bei maana zipite kwa urahisi hapo ziwahi kufika Dar.
Sasa wanakuwa wanapinga nini na wanafanya nini? Kwani matumizi ya kodi kwa ubwege wao wanadhani ni kwa ajili gani?
Kwamba wewe ni mwerevu sio?CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha
Wewe kwa hii thread yako unaonyesha huna akili hata kidogo. Kwa vile makaburu waliwatesa sana watu weusi na siasa ya ubaguzi ililaaniwa na kila mtu ulitaka baada ya Uhuru wa SA wale wazalendo wasusie kila kilichofanywa na makaburu?Kwamba wewe ni mwerevu sio?
Chama kimejaa vijana wavuta bangi, wazee waliotoswa ccm na wanasiasa wasanii sanii...
Sitegemei hoja na mawazo ya kujenga kutoka chama hicho.
Irrelevant...Wewe kwa hii thread yako unaonyesha huna akili hata kidogo. Kwa vile makaburu waliwatesa sana watu weusi na siasa ya ubaguzi ililaaniwa na kila mtu ulitaka baada ya Uhuru wa SA wale wazalendo wasusie kila kilichofanywa na makaburu?
Huelewi unaongea nini wewe hilo daraja kiungo muhimu mno Afrika mashariki kwa wa magari ya Uganda,Rwanda ,Burundi ,kongo na Kenya na TanzaniaInaonekana hujawshi kufika mkoa wa mwanza na kanda ya ziwa yote. hili daraja halina uhusiano wowote na usafirishaji wa samaki coz ziwa lipo hapo hapo mwanza mjini na daraja lipo nje ya mji. Na kutoka mwanza kuja dar hupiti kwenye hilo daraja