gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Naamini wakili wake atapeleka thread zake za humu JF kama utetezi wake mahakamani nadhani hakimu akizisoma atatoa amri apelekwe milembe mara moja akapatiwe matibabu kwa hiyo hakuna haja ya kupoteza resources na muda kwa huyu jamaa!Yeye ndie awape madaktari hizo ripoti za wehu wake kuthibitisha yeye mwehu so far polisi wamchukulie ni mzima hadi yeye athibitishe
Rais wa TZ 2020Huyu Deo anajadiliwa humu mwara kwa Mara, who is he ?
Dina kalimwa banDinazarde hukunitag kwenye haki za Deo ujue
OhoDina kalimwa ban
Haviusiani we una visasi vyakoHuyu katutukana sana waislamu na kipenzi chetu mtume Muhammad SAW
Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
Hahaha, ,alinichekesha aisee,, hadi nilipaliwa na balimiAnakwambia Kutomb.a ni haki yake in accordance with Article 16 ya katiba. Em wanasheria waje wafafanue hili.
Kampelekee uji ndani.Siku akirudi Deo tutakoma
Ntaenda shoga angu tena kesho tuKampelekee uji ndani.
Tangu atangaze kugombea urais 2020 wanamsakama sana .[HASHTAG]#JusticeForKisandu[/HASHTAG]
Kama ni rahisi kiasi hicho hata nabii tito atatoa huo utetezi.Si anaweza kujitetea kirahis tu accnt yake imekua hacked....kosa lake labda awe hakutoa taarifa kituon
Akitoka atasema polisi walitumwa tuNtaenda shoga angu tena kesho tu
Acha kukurupuka wewe .Haviusiani we una visasi vyako
Yaan atasema wanamchafua kwa sababu kakataa kuwa waziri wa kuteuliwaAkitoka atasema polisi walitumwa tu