Mwanza hapajabadilika kwa miaka 13, bado nyumba zinachungulia kutoka milimani

Mwanza hapajabadilika kwa miaka 13, bado nyumba zinachungulia kutoka milimani

Air port
High way ya airport
Daraja
Meli kubwa 2
Stend ya nyegezi
Stend ya nyamongolo
Soko kuu
Meli kibao na vivuko vinaendelea na ujenzi

Sasa ka highway kamoja tuu(Samia anapiga mradi wa Tactic zaidi ya km 20)

Soko kinaendelea na ujenzi

Airport inaendelea na Ujenzi

Majengo makubwa eg TBA yanaendelea na Ujenzi

Sgr na Daraja Ujenzi unaendelea

Matawi ya vyuo Vikuu eg Ardhi ujenzi unaendelea

Kama vyote hivyo vinaendelea yet hakuna mzunguko wa pesa basi ujue kusema miradi ndio ilileta mzunguko wa pesa ni uongo maana hiyo miradi Ina impacts kidogo Kwa wafanyabiashara wa Mwanza Kwa sababu Mingi ni ya Wakandarasi ambao vifaa wanaagiza mbali na Mwanza.
 
Sema umefika kwenu bado hovyo peleka hela pakajengwe kumbuka kuna stendi mbili kali mpya za juzi kati tu hapa ,kuna daraja kubwa linaleta madhari nzuri inaleta picha fulani ya mji kuwa safi.

Zile vipanya buku ndio kila kona vipo isipokuwa Dar tu.
Mji ukishajengwa uswazi na wenye hela kuchanganyika humo humo na huna planning hauwezi kuwa mzuri Mzee acha kujifariji 😂😂
 
Mwaka 2010 nilikaa mwanza kwa mwezi mmoja nikifanya kazi pale TPA. Niliwahi kuja mara kadhaa kwenye mikutano ya siku moja moja hivyo sikuwa nazunguka sana.

Sasa nimeingia jana napita mjini pako vilevile, nyakato, miti mirefu, nyegezi, kirumba, capripoint, airport hamna chochote kipya. Gold crest ipo vilevile.

Ina maana miaka yote hii hakuna maendeleo yoyote mji huu? Rock city mall ipo kama vi-mall vya kawaida kule nyerere road Dar es Salaam.

Nyumba bado zinachungulia milimani kusikokuwa na miundombinu ya barabara.

View attachment 2795776

Umesema nilichokishangaa hata mimi
Yan nimezaliwa mwanza nkaondoka toka 2009 nipo dogo kabsa nikarudi tena safari ya kikazi 2022 nkakuta bado pako the same vilevile mpka nkamuuliza sister angu huku wamerogwa au
 
Nadhani watu wanatamani kuona maghorofa na business centres kubwa. Kwa hilo ni kweli, Mwanza ina mabadiliko madogo sana

Ila kama kimakazi mwanza inaendelea haswa zile business centre zilizo ndani ndani. Mfano ukiingia national, buswelu hadi airport kule kunashtusha hasa baada ya ile barabara kumalizika,

Hata kule nyamongoro hadi kisesa na utoke na ile barabara mpya hadi busisi, naona napo panaendelea, buhongwa pia

Kwa hiyo built up areas zinaenda kwa kasi Ila kibiashara sidhani ipo kasi na hii ni kutokana na kuitoa geita ndani ya mwanza huku mji kama kahama ukiongeza influence yake hadi centres za zamani kama mwanza na shinyanga, zinaenda slow mnoo
 
Nadhani watu wanatamani kuona maghorofa na business centres kubwa. Kwa hilo ni kweli, Mwanza ina mabadiliko madogo sana

Ila kama kimakazi mwanza inaendelea haswa zile business centre zilizo ndani ndani. Mfano ukiingia national, buswelu hafi airport kule kunashtusha hasa baada ya ile barabara kumalizika,

Hata kule nyamongoro hadi kisesa na utoke na ile barabara mpya hadi busisi, naona napo panaendelea, buhongwa pia

Kwa hiyo built up areas zinaenda kwa kasi Ila kibiashara sidhani ipo kasi na hii ni kutokana na kuitoa geita ndani ya mwanza huku mji kama kahana ukiongeza influence yake hadi centres za zamani kama mwanza na shinyanga, zinaenda slow mnoo
Ukweli ni kwamba trend ya mabadiliko ambayo watu wanaotaka Kwa mikoani haiwezi tokea kama huko Dar Kwa sababu ya nature ya uwekezaji wa Serikali mikoani.

Mfano haiwezekani Jiji Moja tuu la Dar linapata pesa za miundombinu tuu zaidi ya 2T wakati mikoani haifiki hata Bil.100.

Kwa Hali kama hii hayo mabadiliko ya kuchagiza uchumi yatatoka wapi?

Ndio maana mara zote nalilia kikokotoo kipya Cha mgao wa keki ya Taifa na mbaya zaidi pesa zetu zinajenga Miji michache ya Dar,Dom na Arusha tuu.

Hii inauma sana.Hai make sense GDP ya Mikoa ya Mwanza na Mbeya second and third inatumika kujenga huko kwingine na kuacha sisi tunachekwa yaani.cc Kitombile Mikdde
 
Umesema nilichokishangaa hata mimi
Yan nimezaliwa mwanza nkaondoka toka 2009 nipo dogo kabsa nikarudi tena safari ya kikazi 2022 nkakuta bado pako the same vilevile mpka nkamuuliza sister angu huku wamerogwa au
Kama Mwanza haijaendelea ni wapi huko palipoendelea kuzidi Mwanza?
 
Utaonaje mzunguko wa pesa na wewe biashara yako kuu ni ya kuuza matobolwa na bahati mbaya sana kwa Mwanza matobolwa kila mtu ana stock ya kutosha nyumbani kwake.Fanya biashara ya kueleweka uone kama hakuna mzunguko wa pesa
Motobolwa ndio nini?
 
Utaonaje mzunguko wa pesa na wewe biashara yako kuu ni ya kuuza matobolwa na bahati mbaya sana kwa Mwanza matobolwa kila mtu ana stock ya kutosha nyumbani kwake.Fanya biashara ya kueleweka uone kama hakuna mzunguko wa pesa
Etii eeh na wewe kauze nondo bas kama mwanza huduma upate mzunguko, au matank kama zongiii yopa ukajenge gorofa, ongea kama mtu mwenye akil timamu, rwagasole na ribety ndio kitovu cha uchuuzaji mwanza sio unaropoka kama huna akili
 
Meli kibao na vivuko vinaendelea na ujenzi

Sasa ka highway kamoja tuu(Samia anapiga mradi wa Tactic zaidi ya km 20)

Soko kinaendelea na ujenzi

Airport inaendelea na Ujenzi

Majengo makubwa eg TBA yanaendelea na Ujenzi

Sgr na Daraja Ujenzi unaendelea

Matawi ya vyuo Vikuu eg Ardhi ujenzi unaendelea

Kama vyote hivyo vinaendelea yet hakuna mzunguko wa pesa basi ujue kusema miradi ndio ilileta mzunguko wa pesa ni uongo maana hiyo miradi Ina impacts kidogo Kwa wafanyabiashara wa Mwanza Kwa sababu Mingi ni ya Wakandarasi ambao vifaa wanaagiza mbali na Mwanza.
Kama huelew miradi ina impact gan sehm husika kipind cha mzee baba rudi darasan kasomee uchumi, air tanzania ilikuwa inabeba samaki na nyama ya mbuzi frm mwanza na kwa sababu air port ilitanuliwa na wagen wng wakanza kuingia na ajira zikawepo, idad ya watu waliopo kweny ujenz wa kusua sua wa mirad yote utacheka mfn soko lina wafanyakz wa 5 now ndio linao jenga tena bila malipo ya cash yaani mkopo, daraja ndio kabisa vichekesho, atleaat sgr lkn meli ndio wameenda kulala tena wanasubr uchagz ndio waifunguwe
 
Ukweli ni kwamba trend ya mabadiliko ambayo watu wanaotaka Kwa mikoani haiwezi tokea kama huko Dar Kwa sababu ya nature ya uwekezaji wa Serikali mikoani.

Mfano haiwezekani Jiji Moja tuu la Dar linapata pesa za miundombinu tuu zaidi ya 2T wakati mikoani haifiki hata Bil.100.

Kwa Hali kama hii hayo mabadiliko ya kuchagiza uchumi yatatoka wapi?

Ndio maana mara zote nalilia kikokotoo kipya Cha mgao wa keki ya Taifa na mbaya zaidi pesa zetu zinajenga Miji michache ya Dar,Dom na Arusha tuu.

Hii inauma sana.Hai make sense GDP ya Mikoa ya Mwanza na Mbeya second and third inatumika kujenga huko kwingine na kuacha sisi tunachekwa yaani.cc Kitombile Mikdde
Ukisema ukweli unaambiwa kazi iendelee kazi which? Kuna jinai kuongea ukwel kwa wanaichi?
 
Mkuu mzee alisaidia sana mzunguko na uchumi wa mwanza kuwa juu haswa kwa miradi yake, kwa kipindi cha miaka 6 mwanza iliinuka sana kiuchumi haswa mzunguko wa fedha, mirad mikubwa ilifanyikia kanda hii na pembezon mwa ziwa so matumiz yalikuwa mwanza kwa ukanda wote so nachokiandika nimekiona na nimekiishi so acha kutukana watu, binafsi na declaire interest kwamba mzee alisaidia uchum wangu kukua mara dufu… now mwnz n kama dead city mzunguko uko chini sana
Mjifunze sasa muwe wamoja?
 
Back
Top Bottom