Kwasabb ya mwendazake ambaye alikuwa na vinasaba na damu ya upendeleo wa nyumbani kwao (usukumani).kushangaza imekuaje reli ya SGR ijengwe kuelekea Mwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasabb ya mwendazake ambaye alikuwa na vinasaba na damu ya upendeleo wa nyumbani kwao (usukumani).kushangaza imekuaje reli ya SGR ijengwe kuelekea Mwanza?
Very sad kwa walipakodi,hata hao wa huko Eneo hakuna kitu watafaidi na itarudi kuwa hovyo kama tuu reli zao za sasa.Mwendazake aliongozwa na chuki na upendeleo kwenye maamuzi yake. Hakujali impact za kiuchumi.
Hama nchi kama hupendi SGR iende Kanda ya Ziwa. No way lazima iende huko utake usitake!Ya ndani iko wapi hiyo inayohitaji sgr?
Kama ilivyo sasa tulivyo na mzigo wa kuendesha zile NjiwaMiradi ya kipuuzi na isiyo na tija kama hii hata kwa wanaoishabikia sio ya kuipelekea pesa.
Hivi huko serikalini kuna watu kweli wanaofikiria? Yaani baada ya kukamilika waanze tena kutuongezea kodi eti kulipia kujiendesha? Huu ni wehu
Uchumi gani uko huko? Tumigodi huto 3 twa dhahabu tukifunga huko hakuna kitu,kama kipo kitaje hapa maana ndio kinawabeba angalau mnaonekana ,pumbavuHujui kitu wewe utopolo kwani unajua Kanda za Ziwa inachagia kiasi gani katika uchumi wa TZ?
Kanda ya ziwa ndiyo inachangie % nyingi zaidi kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi hii kama hutaki kunywa sumu ufe!Kwasabb ya mwendazake ambaye alikuwa na vinasaba na damu ya upendeleo wa nyumbani kwao (usukumani).
Sasa ulitaka iende Kigoma kuna nini? Unategemea DRC wakigaili kupitisha mizigo yao Bandari ya Dar then hiyo SGR inafanya nini? Inabeba mawese au?Uchumi gani uko huko? Tumigodi huto 3 twa dhahabu tukifunga huko hakuna kitu,kama kipo kitaje hapa maana ndio kinawabeba angalau mnaonekana ,pumbavu
Nishakunywa sumu na nimekufa tayari. Kwa mbaali namuona mwendazake anakula mijeledi ya hatari na yuko katikati ya moto.Kanda ya ziwa ndiyo inachangie % nyingi zaidi kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi hii kama hutaki kunywa sumu ufe!
Mtoa mada hayupo serious kabisa! Anafikiri SGR ni kwa ajili ya mizigo ya nje pekee.Lengo ni kusafirisha mizigo ya nchi za nje tu?
Utopolo!Nishakunywa sumu na nimekufa tayari. Kwa mbaali namuona mwendazake anakula mijeledi ya hatari na yuko katikati ya moto.
Kuna 41% ya cargo ,hatujadili kujenga miradi kujifurahisha bali miradi yenye tija kwa Nchi na wananchi sio mzigo wa misunariSasa ulitaka iende Kigoma kuna nini? Unategemea DRC wakigaili kupitisha mizigo yao Bandari ya Dar then hiyo SGR inafanya nini? Inabeba mawese au?
Hakuna economic justification ya huo mradi hata ukiushabikia haiondoi ukweli kwamba ni White Elephant projectMtoa mada hayupo serious kabisa! Anafikiri SGR ni kwa ajili ya mizigo ya nje pekee.
Sasa imeshaenda Mwanza mkuu itabidi ukubali tu no way!Kuna 41% ya cargo ,hatujadili kujenga miradi kujifurahisha bali miradi yenye tija kwa Nchi na wananchi sio mzigo wa misunari
Kwani nani kasema kuwa reli ya SGR haitafika Kigoma?Hujui kitu wewe utopolo kwani unajua Kanda za Ziwa inachagia kiasi gani katika uchumi wa TZ?
Mshenzi tuu yule mwendazake na Hawa wanaozika pesa kwa kulisha watu maneno matamu ya mradi wa kimkakati wajiandae vizazi vyao kuja kulaumiwa na kutukanwa.Sasa imeshaenda Mwanza mkuu itabidi ukubali tu no way!
Unaelewa rational choice? Strategic thinking? Priority? Scale of preference?Kwani nani kasema kuwa reli ya SGR haitafika Kigoma?
Kadogosa angempinga kiongozi wa Malaika?Mbona husemi bwana Ladogosa amejibuje hilo, unakuja na maoni ya upande mmoja?
Sawa! Haitawezekana mradi wowote uungwe mkono kwa asilimia mia moja.Lazima watu kama wewe muwepo.Ila hilo halitazuia mradi husika kusimama.Hakuna economic justification ya huo mradi hata ukiushabikia haiondoi ukweli kwamba ni White Elephant project