Mwanza: Jiji lenye wakazi Duni na mpangilio wa ovyo wa makazi Tanzania

Mbona capri point ni milimani na kuna miamba kama yote lakini pamejengeka vizuri tu! Mi naona ni suala la serikali kuamua na kushirikisha wadau ...hapo mabatini panaweza kuwa pa kishua balaa kama serikali ikiamua
Hakuna sehemu isiyokuwa slum ni raha ya jiji, ukitaka maeneo ya hadhi ya juu mbona yapo mengi tu, tatizo mnanongwa sana nyinyi.
 
Endeleeni kujifariji na vichaka vyenu, eti kasoro Dodoma.
Dar, Arusha, Mwanza kote ni uswazi... lakini haimaanishi zimezidiwa na Dodoma kiuchumi (Arusha na mwanza inawezekana zishiapitwa na Dom)...
Ila kwenye suala zima la mipango miji na upya wa majengo haina ubishi hakuna sehemu bongo sasa hivi inazidi Dodoma.
 
Hakuna sehemu isiyokuwa slum ni raha ya jiji, ukitaka maeneo ya hadhi ya juu mbona yapo mengi tu, tatizo mnanongwa sana nyinyi.
Mwanza naijua nje ndani hamna eneo la hadhi ya juu zaidi ya capri point...labda unitajie sehemu nyingine ambayo ina barabara nzuri hotel, migahawa top class, international school, bank, nk nitajie hiyo sehemu labda naweza kuwa siijui
 
Ulichozungumza wameshazungumza wenzio na wamejibiwa Dodoma ina wigo mpana sana wa barabara za kiwango cha lami hilo halina ubishi kiasi kuna barabara hazina magari yanayopit, unlike kwa Mwanza barabara zote hata mbovu ni zina magari na yanapita hyo inamaanisha Mwanza inauhtaji mkubwa sana wa barabara za lami ila inapuuziwa.

Let's say barabara za Mwanza ziwekwe km za Dodoma, kuna watu mtajinyonga aseeh 😅

Moreover, Mwanza ni kubwa na pana kias hata sehemu zisizo na tarmac roads ni zimechangamka kuzd sehemu za Dodoma zilizo na lami.

Hapa sasa ni wanaopambaniwa na serikali vs wanaojipambania 😁 na hapo sasa siku serikali iktosha kujenga hzi nyumba zao na wakaona wamemaliza kuweka lami vibarabara vyenu ndio mtasimamia hapo hapo unlike Mwanza😁 soon kunakuwa na Manispaa 3 nyie ni Manispaa 1 hebu peleka uchafu hko mzee 😁
 
Ila we jamaa 😅 Dodoma sehemu gani mnapata maji kwa uhakika yani haya maji yanayotoka kwa dk 40 had saa1 kwa siku kwenu ndio uhakika!? Kwann mnaficha shida zenu!? Sema ukweli ujue mm ni mkazi wa Dodoma nlkuwa Ihumwa now npo Makulu au wenzetu sehemu zingine ninyi maji uhakika right.
 
Mwanza kuzuri especially hali ya hewa. Huko milimani ni hela tu! Panaweza kujengeka vizuri tu kama Capri point kukawa na mitaa iliyopangika vizuri na barabara nzuri
Hawa washamba hawajui kitu bas wakipita road wakaona hzo nyumba wanajua kote ni hvo, hawajui hata kuangalia miji mizuri aseeh yan hapa Dodoma ndio unafananisha na Mwanza huu si uchawi kbs nmelia sana mm.
 
Tatizo ni siasa na wanasiasa akifuatiwa elimu.

Nenda Skanska au Mtongani ya kunduchi
 
Dom baada ya miaka 10 ijayo hata dsm itaisubiri, jamaa anataka kulinganisha dom na uchafu,,, mwanza hata kufkia hadhi ya mtaa mmoja wa michese tu bado ikasome,
Hata Dsm ikisimama leo bado Dodoma haiwezi ipita kwa lolote lile ndani ya miaka 50
 
Unaongelea Mwanza ipi?
 
Hv kwann kila Jiji hupenda kulinganishwa na Mwanza tuanzie hapo kwanza 😅 yaan hadi Mbeya tena mwisho wale wa Kahama na wao waje na uzi wa kutaka battle na Mwanza.
Ukiondoa dar, MWANZA inabakia kipimo Tosha kwa majiji na miji yote iliobaki, usishangae hawa jamaa kujaribu kulinganisha ingawa mimi naona Mwanza is the best.
 
Dodoma kwa magorofa gani
? Ukiondoa majengo ya serikali hamna lolote hapo dodoma.
Kwa mbeya ndio unyamaze kabisaa maana haina mpangilio wowote kuzidi mwanza, kiuchumi pia mwanza iko vizuri kuliko mbeya,
Arusha hakuna jipya kabisa,
Mwanza ni Jiji namba 2 ukiondoa dar es salaam ambayo ndio namba moja kama ukibisha na hapo rudi darasani🤣🤣🤣🤣
 
Naona unataka battle ya Mwanza na kijiji chenu cha Dodoma
🤣🤣🤣🤣🤣, tena kijiji haswa Dodoma nimeishi na Mwanza nimeishi, hawa malimbukeni wanataka kuleta battle za hovyohovyo, Dodoma inatakiwa ibatle na akina arusha,tanga sababu hata mbeya bado Dodoma haiwezi ipata
 
Mwanza naijua nje ndani hamna eneo la hadhi ya juu zaidi ya capri point...labda unitajie sehemu nyingine ambayo ina barabara nzuri hotel, migahawa top class, international school, bank, nk nitajie hiyo sehemu labda naweza kuwa siijui
Taja dodoma sehemu zenye hadhi 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…