Mwanza: Mmiliki wa mabasi ya J4 aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa aachiwa huru

Jamaa baada ya kugundua Mambo yameumana aliwaita ndg wa marehem akawaambia nawapa 600M kila mmoja afu huku serikalini niachieni Mimi ntamaliza!! Ndg wa marehem wakakomaa asulubiwe asulubiwe
Kuchukua hela ya ndugu aliyeuawa inahitaji moyo haswaa
 
Mawakili ni wazuri sana na ndo maana kuna watu hulipa pesa za kila mwezi kwenye kampuni za mawakili ili ikitokea lolote lifanyiwe kazi. Kuliko kupata tatizo afu ndo uanze tafuta wakili
 
Hujaelewa Point yangu ndugu, huyo jamaa inasadikika alifanya tukio hilo wenyeji wa Mwanza tunafahamu, mazingira ya kesi na mwenendo unatia shaka.

Njoo Mwanza Leo uulize habari zake halafu kama utarudia kuandika hapa wewe ndio unatakiwa utulie .
Akiwa ndani unafaidika na nini?

Akiwa nje unakosa nini?
 
Nakuelewa na pia Nafahamu Sheria , unachoeleza hakinatofauti

MTU KUPATA AJALI AU KUPIGWA NA KUUMIZWA HALAFU AKIPELEKWA HOSPITAL HAPATI MATIBABU MPAKA IPATIKANE PF3 .

SHERIA ZETU NI MBOVU. MLOLONGO MREFU USIO NA MAANA
 
Kinachoumiza kwenye kesi kama hizi, mawakili wenye weledi wanaenda kutetea wahalifu .

Hilo ndio tatizo langu na kibatala, japo ni wakili mzuri njaa zinafanya wakili unaenda kutetea wezi na wauwaji .
Hakuna wakili anayekataa kesi inayompa hela
 
Nimekuuliza sio ugomvi !! Wangapi wanaachiwa ? Kuna mengi mzee na kuwekwa jela kwa mda ni kama sheria hata ukiua jambazi unaweza kushikiliwa kwa muda then ndo unaachiwa.

Fuatilia sana hizo mambo wengine majambazi.
Wale walikuwa wafanyakazi wake
 
Pitia proceedings za hiyo case, alafu njoo utupe maamuzi yako tuachane na hizo reference kuwa kama unatoa elimu kwa layman. Maana court of appeal wao wameangalia sheria ya CPA inasemaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…