Hujawahi kupata Kesi hivyo ni vema utulie,katika watu ambao HAWAWAPENDI MAWAKILI wa kujitegemea kama hao kina Kibatala ni Askari Polisi,mfano katika wale Askari wanaotuhumiwa kumuua kijana wa Madini Mtwara,kuna rafiki zangu wawili tena ni Senior Officers miongoni mwa wale 7 na walikuwa wanawachukia sana MAWAKILI WA KUJITEGEMEA,lakini tangu wakamatwe na kuwekwa Mahabusu sasa hivi ndugu huku nje wanahaha kutafuta Wakili mzuri wa kujitegemea ili awatetee Mahakamani,hivyo fanya jambo lolote lakini Jela ni mahali pabaya asikwambie mtu,wewe unadhani Sabaya alikuwa anawapenda MAWAKILI WA KUJITEGEMEA enzi alipokuwa DC??si alikuwa anawaona takataka tu,lakini leo hii Mpira umegeuka yeye ndie anawategemea MAWAKILI WA KUJITEGEMEA,acha masihara ya Jela ndugu