Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
-
- #61
Huyo bwana baada ya mauaji, alihukumiwaga KUNYONGWA Hadi KUFA.Mbaya nimekumbuka kumbe hukumu ilishapita kabisa 🙄🙄then kaachiwa .
PUNGUZA UPEPONyie Mahakama acheni kuona watu ni mbuzi, Acheni Rushwa, Rushwa ni adui wa haki, Rushwa anatesa, Rushwa anaumiza watu
Hivi mtu aliyeua watu wawili kwa risasi , watu wamekufa, wamezikwa , na mmemhukumu kunyongwa hadi kufa, leo hiii kisa rufaa, kwamba meza imepinduka? Mpaka aachiwe huru?
Mbona mnakoswa huruma nyinyi?? Mbona hamuwakumbuki watu walowapoteza wapendwa wao? Tunarudi wapi?
Huu ndo utawala wa Rais Samia, wenye kufuata misingi ya Demokrasia?
Haya basi, jamhuri haina nia ya kuendelea na kesi, mtufufulie ndugu zetu walouawa basi, na sisi tucheze nao, tupige nao stori, likiwashinda hilo, basi tuambiani, walowaua ndugu zetu wawili kwa risasi ni akina nani?.
Mambo ya ajabu kabisa na aibu ilopitiliza.
Mnatanguliza rushwa mpaka kwenye maisha ya watu, kama mlimuhukumu kunyongwa, leo hii inakuaje mnakoswa nia ya kuendelea na kesi? Kwamba hakukutokea tukio la mauaji? Kwamba hamna aliyekufa? Na kama alikufa nani alimuua?? Kama sio Jumanne, ni nani aliwaua?? Kama ni yeye, imekuaje aachiwe huru? Mtufufulie ndugu zetu .
Shame on you!! Rushwa rushwa mpaka mnauza roho za watu??
Wapumbavu kabisa , mlaaniwe na vizazi vyenu, na hizo rushwa mnazokula, pesa hizo ziendelee kuwapa umasikini wa roho na mpoteze heshima mbele ya watu .
Huyu jamaa alihukumiwa hapa !![emoji116]
Leo kaachiwa Huru, ila Polisi wamejifanya kumkamata Tena, ili kupima upepo, ili hali JAMHURI ndio hiyo hiyo Polisi !!
Watakuja wale jamaa sijui wakili msomi na yeye anaangalia pesa tu.Huyo bwana baada ya mauaji, alihukumiwaga KUNYONGWA Hadi KUFA.
Amekaa Jela wee, mwaka Jana ndo wakaanza habari za Rufaaa zikiingozwa na Kibatala !!.
Leo jamhuri imesema Haina Nia ya kesi, Mahakama imemuachia huru .
Wakati wanatoka tu, Polisi wakawamkata Tena.
Majuzi Kati nilikua Kuna Vijana wapatao wanne nmewafikisha MahakamaniNdugu yangu,kuna issue nilikuwa napigania...pesa zimenitoka kweli
Sure thing, chini ya Magu haya maujinga yasingetokea. Aisee nimechefukwa sanaAlafu jamaa analeta habari za scenarios hapaa.
Watu wanahukumiwa kunyongwa kisa wamechoma mwizi mtaani aloiba Kuku akawapikie wanawe.
Alafu aliyeua watu Kwa makusudi anaachiwa??
Aibu aibu aibu ..
ANGEKUWEPO HAYATI MAGUFULI, HUU UJINGA USINGETOKEA KAMWE.
BADO SIJAELEWAMtu alishahukumiwa KUNYONGWA, wamekuja kusubiri JPM amekufa, ndo wakaamua kurudi kwenye rufaaa, na ujanaujanja na Rushwa Rushwa kibao ,Leo ameachiwa huru..
Inawezekana hii kesi inamuhusu sana, kwa hiyo hawezi kuwa objective.Wewe ni bure kabisa. Siyo kila kuua kunafanya mtu anyongwe au hata afungwe. Kuna watu wanaua na kuiachiwa, tena wengi tu. Inategemea na mazingira yaliyofanya waue. Kosa lako kubwa wewe unalaani bila kuonyesha marehemu waliuawa kwenye mazingira gani na ni kwa nini. Inawezekana kweli kuwa kuna rushwa imetumika lakini uandishi wako na uking'ang'anizi wako wa kusema kuua ni kuua tu bila kujali mazingira ndiyo kunakuangusha.
Tena rushwa ni wazwazMajuzi Kati nilikua Kuna Vijana wapatao wanne nmewafikisha Mahakamani
Huwezi amini, Hakimu wa Kesi hiyo, akawa anawapigia simu watuhumiwa anawaambiaje" Huyu Dr kesi yake nyuma yake inawatu wazitk, mkicheza mtapoteaa , Sasa tuongee kiutu uzima".
Fikiria huyo ni Hakimu aliyetakuwa kusimamia haki, ila anataka watuhumiwa, wampe Hela !!.
Wewe ni hakimu?Kisesa yupo
Kama alishahukumiwa basi inamaanisha kesi ilishaisha. Na kama kesi ilishaisha basi mwendesha mashtaka hawezi kusema tena ''hana nia ya kuendelea na kesi''. Inaonekana alikata rufaa na akashinda lakini siyo kweli kuwa mwendesha mashtaka amesema hana nia ya kuendelea na mshtaka.Huyo bwana baada ya mauaji, alihukumiwaga KUNYONGWA Hadi KUFA.
Amekaa Jela wee, mwaka Jana ndo wakaanza habari za Rufaaa zikiingozwa na Kibatala !!.
Leo jamhuri imesema Haina Nia ya kesi, Mahakama imemuachia huru .
Wakati wanatoka tu, Polisi wakawamkata Tena.
Kwan wameshinda?Upande wa utetezi mtuhumiwa alitetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala.
Kuna watu huwa wanabeza uwezo wa Kibatala kuwa hashindi kesi huyu jamaa ni moto
Nao wamelamba asali ati!! Ebo!!Hapo majaji wameneemeka
Ova
Kama huna ela bas uwe na mganga nguli.Afrika jela ni kwa ajili ya watu masikini, ukiona tajiri jela jua kaingia cha kike. Ukitaka kesi yako iende haraka haraka na upate hukumu poa hakikisha upo vizuri mfukoni.