Mwanza: Mmiliki wa mabasi ya J4 aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa aachiwa huru

Ukali wake ndio ulikuwa unaingilia majukumu ya mihimili mingine.

Kila muhimili unapaswa kuwa huru usiingiliwe na mwingine.
Kwa hiyo na wwe umekubali kua kila muhimili ule kwa urefu wa kamba yake siyo!? Hakuna kuingiliana kwenye ulaji haya twendeni hadi tuone mwisho wake itakuwaje!!
 
Boss usiilaumu mahakama kumbuka mahakama inafata ushahidi na utetezi na mwenendo wa kesi kama mwendesha mashtaka akishindwa kuithibitishia mahakama au vifungu vya sheria visipofatwa MTU anatoka tu

Mahakama ya Rufaa iliamuru kesi ianze upya. Nadhani hapi ndipo pesa ilipenyezwa.
 
Tutakutana kwa mungu 😭😭
 
Hakuna Cha scenario aliwalamba risasi wote wawili kisa wanamcheleweshea Deni lake.
Pesa inatafutwa kwamambo mengi haiwezekani uchukue pesa zangu alafu usumbue kurudisha kisa kuna sheria jamaa alifanya Jambo sahihi kwawakati sahihi
 

Hi kesi Mahakama ya Rufaa iliamuru ianze upya. Sasa nadhani kwenye process za kuanza nadhani Kuna mazungumzo yalifanyika baina ya mtuhumiwa na familia ya Marehemu wote ndipo wakakubalina fidia, ndio maana kesi imeisha haijafunguliwa Tena.
 
Hapana siyo Rufaa. Mahakama ya Rufaa iliamuru kesi ianze upya mahakama kuu . Sasa serikali imesema haina nia ya kuendelea na kesi

Amekata rufaa kaachiliwa.
Wajinga wanaanza ropoka kuwa rushwa
.
 

Hivi super shem alienda wapi?
 

Alishaleta Rufaa , mahakam ya Rufaa ikaamua kuwa kesi ianze upya mahakama kuui. Sasa kwenye process ya kuanza kesi Mahakama kuu, DPP kasema Hana nia ya kuendelea na kesi.
 

Nadhani kwa kesi yake sio first degree murder Bali Manslaughter
 

Mahakama ya Rufaa iliamuru tria de novo kwenye mahakama kuu. Sasa DPP kaona usumbufu kuanza kesi upya kaamua kutoa nolle prosequi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…