Mwanza: Mmiliki wa mabasi ya J4 aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa aachiwa huru

Staki kuongelea hukumu ya court of appeal, wana sababu zao, ila kati ya majaji ambao nawakubali ni mhe Rumanyika, hukumu zake hazinaga wasiwasi, binafdi nilifurahi sana kufanya kazi wakati jaji rumanyika akiwa mfawidhi, ni mtu wa principles siku zingerudi nyuma akarudishwa high court ningefurahi sana ingawa haiwezekani yupo zake CA.
 

Hao ndugu zako inasemekana walikuwa matapeli haswa mwanza inawajua..
Hakuna mtu Ana haki ya kumuua mtu
Huyo J4 asinge waua Wao wangemuua ilikuwa ni kuviziana nani atamuwahi mwingine
 

Ndivyo ilivyo,usitarajie hata siku moja utapata haki mahakamani…
Mwenye pesa ndio Ana haki
 
Hili halikubaliki na kiufupi mwenye Pesa awamu hii hawezi fungwa Wala kushtakiwa.

This is bad
 
Sasa hii inahalalisha vipi muuaji kuwa huru?
 
wachukur sheria mikononi tu kama serikali imeshindwa kufanya kazi yake, simple.
Ndio maana Ndumba Ni muhimu San kulipa kisasa..

Haki ya Mungu hata Mimi ikinikuta nalipa kisasi Cha radi asambaratike ili iwe onyo kwa wengine maana Kama huna Pesa utaonewa.
 
Sawa Ila kwa kuvamiwa usiku it makes sense..
 
Hi kesi Mahakama ya Rufaa iliamuru ianze upya. Sasa nadhani kwenye process za kuanza nadhani Kuna mazungumzo yalifanyika baina ya mtuhumiwa na familia ya Marehemu wote ndipo wakakubalina fidia, ndio maana kesi imeisha haijafunguliwa Tena.
This makes sense kwamba wamemalizana nje Jambo ambako Ni sahihi kisheria
 
Unawajua? Maana wanahamishwa hao afu inakuwa Ni pannel,tafuta mmja ndio awe wa mfano.
 
Huu mzaha hata Kama Sina hela nitakutafuta kwa Ndumba mzee unless iwe muuaji ame kompromise na familia wakamalizana sio kuhonga mapolisi afu wenye ndugu wakaachwa pembeni.
 
Alikusudia kuuwa!! Ina maana alikuwa na akili timamu! Huyo sio wa kuachia. Labda waliomuachia ni hawa wa vyeti fake
 
“Justice must not only be done, but must also be seen to be done”. This dictum was laid down by Lord Hewart, the then Lord Chief Justice of England in the case of Rex v. Sussex Justices, [1924] 1 KB 256.

Watu wakiendelea kukosa Imani na Mahakama ni hatari sana kwa mustakabali wa nchi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…