Mwanza: Mmiliki wa mabasi ya J4 aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa aachiwa huru

Hi kesi Mahakama ya Rufaa iliamuru ianze upya. Sasa nadhani kwenye process za kuanza nadhani Kuna mazungumzo yalifanyika baina ya mtuhumiwa na familia ya Marehemu wote ndipo wakakubalina fidia, ndio maana kesi imeisha haijafunguliwa Tena.
Yes inawezekana Kuna Mambo nyuma ya pazia hatuyajui.
 
Kuna wakati unaona Kabudi na Bashiru walikuwa na akili kubwa sana ya kupinga huyu mama kuchukua Uraisi kaifanya nchi imekuwa ya kizuzu sana. Magufuli kosa lake kubwa kuona wapinzani ni wabaya wake. Huu ujinga wakati wa Magu kamwe usingefanyika.
 
Acha ujinga wako, haijalishi nyuma ya mauaji Kuna sababu zipi.

Kuua ni kuua tu .... Kwahiyo siku hizi, mtu akikutendea baya, ni Kuua tu, kwakua nyuma yake una sababu?.

Kuua siyo jambo kuu, Jambo kuu ni Yupi ameweza kusimama na kupangua vifungu Vya sheria

Kumbuka mahakama haifanyi Kazi kwa hisia
 
Kuua siyo jambo kuu, Jambo kuu ni Yupi ameweza kusimama na kupangua vifungu Vya sheria

Kumbuka mahakama haifanyi Kazi kwa hisia
Acha masihara , Yaan weee Umeua na imethibitika umeua, ,, alafu kwakua Kuna vifungu Kadhaa Kadhaa, vya kisheria, basi uachiwe huru?.

Inawezekana Sasa, Tanzania ndio Nchi yenye mfumo wa Mahakama wa kijinga kupindukia .

Na ndio maana wanafel sana saana mitihan Yao.
 
Kama familia za wahuka hawatapaza sauti, basi waliitwa mezan mambo yakazungumzwa.
 
kibatala kaangukia pua na usomi wake hahaaa yule akaendeshe kesi zake zaa michongo za kina halima tu
 
Nimekuuliza sio ugomvi !! Wangapi wanaachiwa ? Kuna mengi mzee na kuwekwa jela kwa mda ni kama sheria hata ukiua jambazi unaweza kushikiliwa kwa muda then ndo unaachiwa.

Fuatilia sana hizo mambo wengine majambazi.
Hoja yako haina mashiko,kwani alivyowaua walikuwa wamevamia nyumbani kwake kuiba?
Kwa sababu hata walioua bila kukusudia pia huwa wanakaa jela angalau miaka 5 kisha mahakama ikija kuthibitisha kuwa haikuwa makusudi ndipo wanaachiwa.
Sasa mtoa mada anauliza wametumia vigezo gani kufutiwa mashtaka na kuachiwa huru?
 
Polisi wana nia ya kumfungulia mashitaka upya?
 
Haya sielewi umeandika nn? Kwa sababu nimeuliza mazingira ambayo jamaa yalimpelekea mpaka akafanya hilo tukio.
 
Hii ndo inajustify mtu kuua?
Kwani kafanyaje? Uzi si unasema kaua watu .

Kwa Mimi naona kawaida wanamalizana sana kweny ishu za madini no kesi.watu wanatolewa mpaka kafara ..Wapo watu kibao wamemalizana kweny ishu za dhuluna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…