Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Ungetakiwa useme magufuli ndo Yuko wapi na sio lisu ambaye yupo na buheri wa afyaUmaarufu huo utawafikisha wapi akina Mbowe? Walikuwepo akina Lisu wakatengenezewa na majukwaa Ulaya na USA saizi wako wapi? Ccm si bado iko ulingoni?
Ukiwaacha watahamia nje wewe pimbi lazima wadhibitiwe mapema.
Mimi Ufipa mkuuHawezi kuwa na akili maana kutokuwa na akili timamu ndiyo moja ya kigezo cha kuwa mwana uvccm
StupidMimi Ufipa mkuu
Muulize polepole au bashiru majibu wanayo
Walianza kumbeep mama, sasa ameanza kuwapigia. Hawa watu siyo wa kucheka noa, la sivyo nchi utakuwa ya maandamano na harakati kila kukicha. Walisema watamnyoa mama, sasa ngoja awanyoe waoView attachment 1861764
View attachment 1861765
View attachment 1861766
Usiku majira ya saa tisa, Polisi walivamia Hoteli aliyokuwa amefikia Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na wageni wengine pamoja na wenyeji wao.
Waliochukuliwa:
1. Freeman Mbowe
2. John Pambalu
3. John Heche
4. Rose Mayemba
5. Masenya(Mwenyekiti BAVICHA Ilemela)
6. Steven Odipo
7. Dr. Rwaitama
8. Seti (Dereva kanda ya Victoria)
9. Apollo (Afisa Habari Taifa)
10. Frank Novatus (CHASO)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benja (BAVICHA Kinondoni)
Mpaka sasa haijajulikana wamechukuliwa kwa kosa gani.
=====
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
====
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Taarifa Kwa UMMA
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe..Freeman Mbowe alivamiwa na Jeshi la Polisi hotelini alipokuwa ( Kingdom Hotel) majira ya saa nane na nusu usiku na kumkamata pamoja na viongozi wengine waliokuwa naye.
Viongozi wengine walipelekwa Kituo cha Kati cha Polisi Mwanza,Ila Mwenyekiti Mbowe haijulikani alipelekwa wapi na mpaka Muda huu hakuna taarifa zozote za mahali alipo.
Waliokamatwa ni wafuatao;
1. Mhe .Freeman Mbow
2. Mhe.John Pambalu
3. Mhe. John Heche
4.Mhe. Rose mayemba
5. Masenya( Mwenyekiti Bavicha ilemela)
6. Steven Odipo
7.Dr. Azavel Lwaitama
8. Seti ( Dereva Kanda ya Victoria)
9. Apolinary Appolo (Afisa habari Taifa)
10. Frank Novatus (Chaso Mwanza)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benjamin Kambarage ( M.kiti Bavicha kinondoni)
Tunalitaka Jeshi la Polisi kujitokeza na kusema alipo Mwenyekiti wa Taifa na sababu za kumkamata zilikuwa nini.
Tunalaani ukandamizaji huu wa Haki za Watanzania Kwa nguvu zote , na hizi NI dalili za wazi kuwa Udikteta uliokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli bado unaendelea .
Tutatoa taarifa kadiri ya Muda na jinsi tutakavyozipokea .
====
UPDATES:
=====
Jeshi la polisi mkoani Mwanza limefunga barabara ya Bwiru maarufu kona ya Bwiru jirani na ukumbi uliopangwa kufanyia kongamano la Chadema la kudai Katiba, hakuna kinachoendelea kwa sasa polisi wametanda barabara nzima wakiwa na magari na silaha za moto
Eti uñasema nini wewe?Wananchi wana mahitaji yao ndio maana wakiguswa wanalalamika lakini madai ya Chadema sio ya wananchi
Unaonaje jinsi mama anavyowakomesha mataga na sukuma gang?Mbona meco alikufa kwa koroona lkn bado watu waliendelea na maisha yao na hukuuliza wala kutoa tahadhali?
Yuko Kaburini kwani hiyo inatoa immune kwa Lisu kwamba hato kufa? Au amepata alichokuwa anatafuta?Ungetakiwa useme magufuli ndo Yuko wapi na sio lisu ambaye yupo na buheri wa afya
Wanahusikaje hapa? Relax kunywa maji ya baridi halafu rudi hapa!Muulize polepole au bashiru majibu wanayo
Tunaangalia maslahi ya wengi sio wananchi wachache wenye malengo yao ya kisiasa hapo hapana mkikaidi ni nyundo tuuEti uñasema nini wewe?
Kwamba;
å Wananchi wana mahitaji yao (SAWA)
å Hawa wananchi wakiguswa wanalalamika (SAWA)
HALAFU UMESEMAJE HAPO MWISHONI?
å Ila madai ya CHADEMA siyo ya wananchi...!!
MASWALI KWAKO:
2. Wananchi hao ni kina nani kwani?
3. Kwani hao CHADEMA ni mawe au miti? Je, si kwamba nao ni wananchi?
4. Kama unakubali kuwa ni "wananchi", basi wanapo launch madai/malalamiko yao juu ya serikali au nchi yao basi wanafanya vile kama wananchi wenye haki zote ktk nchi yao...!
Kwa maelezo haya, utetezi na hoja zako ni irrelevant na hazina maana wala nguvu..
Muulize polepole au bashiru majibu wanayo
Nyie washabiki wa ccm ndo mlikua mnaimba ngonjera kwamba mambo ni mazuri amefariki ghafla yamekua mabayaKwani wewe unaamini yalikuwa mazuri? Hizi ni zama za SSH sio za Magufuli
Kwani wewe unaamini yalikuwa mazuri? Hizi ni zama za SSH sio za Magufuli
Weka pichaHuna sura wala shape ya kushindana na Rose hivyo kubali matokeo kuwa kwa sasa Mbowe kesha kutupa kwenye dust bin.
Presidential executive orderUnajua ni maana ya amri?
Sheria gani inasema kwamba Rais ana mamlaka ya kutoa amri?
Ulipiga mwingi Sana keep pindi Cha JPMMimi sijawahi kuwa chadema,na Sina affiliation yyte na CCM,Mimi siyo fala niwashabikie wanasiasa huku wao wananufaika kimpango wao
Pitia comments zangu zote awamu ya tano utajua kama mimi ni ccm au hapana.Muulize polepole au bashiru majibu wanayo
Nyie washabiki wa ccm ndo mlikua mnaimba ngonjera kwamba mambo ni mazuri amefariki ghafla yamekua mabaya
Wanahusikaje hapa? Relax kunywa maji ya baridi halafu rudi hapa!
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Wanahusikaje hapa? Relax kunywa maji ya baridi halafu rudi hapa!
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Wao ndo walikuwa washauri wa dikteta magufuli, kawatesa wakina mbowe na lisu Leo hayupoWanahusikaje hapa? Relax kunywa maji ya baridi halafu rudi hapa!
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Namuona ukiwa kazini maana biashara ni matangazoWeka picha
Mkuu,punguza ukaliStupid