Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Umaarufu huo utawafikisha wapi akina Mbowe? Walikuwepo akina Lisu wakatengenezewa na majukwaa Ulaya na USA saizi wako wapi? Ccm si bado iko ulingoni?

Ukiwaacha watahamia nje wewe pimbi lazima wadhibitiwe mapema.
Ungetakiwa useme magufuli ndo Yuko wapi na sio lisu ambaye yupo na buheri wa afya
 
Walianza kumbeep mama, sasa ameanza kuwapigia. Hawa watu siyo wa kucheka noa, la sivyo nchi utakuwa ya maandamano na harakati kila kukicha. Walisema watamnyoa mama, sasa ngoja awanyoe wao
 
Wananchi wana mahitaji yao ndio maana wakiguswa wanalalamika lakini madai ya Chadema sio ya wananchi
Eti uñasema nini wewe?

Kwamba;

å Wananchi wana mahitaji yao (SAWA)

å Hawa wananchi wakiguswa wanalalamika (SAWA)

HALAFU UMESEMAJE HAPO MWISHONI?

å Ila madai ya CHADEMA siyo ya wananchi...!!

MASWALI KWAKO:

1. Hivi kwa akili yako na kwa kauli yako ya "madai ya CHADEMA si ya wananchi" una maana kwamba "wananchi" kwa mtazamo wako ni serikali au wabunge wa CCM au wana CCM siyo..?

2. Kama unafikiri hivi, basi wewe ni "mjinga" na unastahili kuelimishwa ili ujue "wananchi" ni kina nani...!!

3. Kwani hao CHADEMA ni mawe au miti? Je, si kwamba nao ni wananchi?

4. Kama unakubali kuwa ni "wananchi", basi wanapo launch madai/malalamiko yao juu ya serikali au nchi yao basi wanafanya vile kama wananchi wenye haki zote ktk nchi yao...!

Kwa maelezo haya, utetezi na hoja zako ni irrelevant na hazina maana wala nguvu..
 
Mbona meco alikufa kwa koroona lkn bado watu waliendelea na maisha yao na hukuuliza wala kutoa tahadhali?
Unaonaje jinsi mama anavyowakomesha mataga na sukuma gang?
 
Tunaangalia maslahi ya wengi sio wananchi wachache wenye malengo yao ya kisiasa hapo hapana mkikaidi ni nyundo tuu
 
Mimi sijawahi kuwa chadema,na Sina affiliation yyte na CCM,Mimi siyo fala niwashabikie wanasiasa huku wao wananufaika kimpango wao
Ulipiga mwingi Sana keep pindi Cha JPM

USSR
 
Mmmmm yeye mgeni Mwanza kaenda kwenye mambo ya Katiba sasa afikie wapi wakati wako ki chama wanalipiwa wote ??? Mbona maswali kitoto labisa na yeye huyu eti ni GT
 
Muulize polepole au bashiru majibu wanayo

Nyie washabiki wa ccm ndo mlikua mnaimba ngonjera kwamba mambo ni mazuri amefariki ghafla yamekua mabaya
Pitia comments zangu zote awamu ya tano utajua kama mimi ni ccm au hapana.

Sikuwa nakubaliana na sera za Uchumi za Magu ,hayo ya kisiasa mtajuana wenyewe kwa sasa Madam President kabadili mambo kwangu is okay
 
Wanahusikaje hapa? Relax kunywa maji ya baridi halafu rudi hapa!

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Wanahusikaje hapa? Relax kunywa maji ya baridi halafu rudi hapa!

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Wanahusikaje hapa? Relax kunywa maji ya baridi halafu rudi hapa!

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Wao ndo walikuwa washauri wa dikteta magufuli, kawatesa wakina mbowe na lisu Leo hayupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…