Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

😊😊
Kazi bure kweli.
Kwa sababu pesa yangu hata kama ni ndogo inatumiwa na Watu waliowangu, ikiwemo Mwanamke ninayempenda ambaye sharti awe anaishi na mimi au nimemuoa.
Daah!yaani ulivyokaza fuvu wewe!🤦🤦🤣🤣🤣
 
Unaweza weka hata shemdarling itanoga😁😁😁😁Jana sijakuona kabisa jamvini,ndio sabbath?
Hemdarling haina mashiko, tuamue moja kieleweke🤣🤣 jana nilikuwa na kasafari na hekaheka za kutosha sikuingia sana.
 
Maana ule mnuno ulikuwa kiboka,Bora wangu hata anaongea kidogo🤣🤣
😂😂😂 Alivyoona nimeanza kumove on afu kuna baharia ananinyapia weee!! Akarudi kwa speed na mahaba moto moto!!!
Kantry akili zake anazijua mwenyewe bangi anazovuta sio za Nchi hii
 
Hemdarling haina mashiko, tuamue moja kieleweke🤣🤣 jana nilikuwa na kasafari na hekaheka za kutosha sikuingia sana.
Iwe tu darling Moja Kwa Moja au sio?🤣🤣🤣.......Ndio maana uliadimika
 
😂😂😂 Alivyoona nimeanza kumove on afu kuna baharia ananinyapia weee!! Akarudi kwa speed na mahaba moto moto!!!
Kantry akili zake anazijua mwenyewe bangi anazovuta sio za Nchi hii
Bangi zake za mkoani kwao
 
nyege mbaya sana
 
Safi kabisa mkuu, hovyo kabisa mtu kaolewa tena bila aibu anaanzisha uzi kumsifia mwanaume mwingine mpaka kufika kutaka kulala naye hilifaa kabisa aishi kama ulivyosema[emoji817]
 
Black flan wa kuteleza
Mrefu kiasi, kanizidi manake mie nina cm 160
Hana kitambo, ana mwili wa mazoezi
Ana vindevu kiasi
Hana kovu lolote usoni
Halafu muda wote ana tabasamu
Na anaongea kwa kujiamini
Kampe na dai talaka uolewe nae
 
🤣🤣🤣Tatizo wambea wameshatega vizuri mitambo Yao Ili wakachapishe gazeti,,Sasa hapo hawaelewi elewi
Nami nilitaka kusema the same, tukubaliane kukutana na upinzani wa Hamas🤣🤣
 
Hee hao nao vipi!hawajui kila zama na nabii wake?
Sijui aliwapa nini? 🤣🤣🤣
We waache siku nilewe niwawashie Mwenge
Me siibiwi kizembe, Kantry hapa kafika uko kwao alikuwa anapiga tizi, mechi inachezeka hapa 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…