Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Weee hebu acha kutunga tamthiliaAnamtafuna?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee hebu acha kutunga tamthiliaAnamtafuna?
Usafirishaji haramu ni pana.Usafirishaji haramu!!! Maelezo ya Kesi yawekwe sawa atawaruka!
Mfalme ni Mkubwa kuliko Chief.Mfalme kama mfalme.
Ngoja tuone mfalme na Chief nani zaidi.
Hawezi kaa ndani bila kosaSukuma ndani huyo mfalme mwanamke.
Hakuna kosa kisheria.Aiseee kuwashika wale makerubi wa Mfalme Zumaridi ni kuwaonea tu.
Zumaridi ndiye ashikwe na hao wawe kama vidhibiti/ushahidi wa kesi ya kuwaweka watu misukule.
Zumaridi kawageuza waumini wake misukule
Huyo .9 ni wa umri chini ya miezi tisa.watu 49.9 huyo wa pointi ni mtoto au anatoka kabila la ...
Bado atawashinda akisema alikuwa akiwapa huduma za maombezi,maana hata hospital rika zote wapo vichanga kwa vizee.Polisi wa TZ bana.
Sasa kulikua na haja gani kuandika kuwa huyo mama anawaaminisha wafuasi wake kuwa yeye ni mungu?
Au ni moja ya makosa kisheria kamahayo makosa ya human trafficking wanayomshutumu nayo?
Lingine hili apa ilishalishwa unga wa NdeleMungu wa mbingu na ardhi amsaidia mjumbe wake. Huyu ni kweli na hana shaka kwa maneno na vitendo vyake. Mashetani yanajaribu kumwangusha ila hawataishinda nguvu ya Mungu.
Hawezi kufungwa wala kupewa adhabu.Hakuna kosa kisheria.
AhahahahaLingine hili apa ilishalishwa unga wa Ndele