Mwanza: Polisi yamkamata Mfalme Zumaridi. Anatuhumiwa kwa kosa la usafirishaji haramu wa watu wapatao 149

Mwanza: Polisi yamkamata Mfalme Zumaridi. Anatuhumiwa kwa kosa la usafirishaji haramu wa watu wapatao 149

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa kanisa la Zumaridi, kwa tuhuma za usafirishaji haramu wa binadamu 149 wakiwemo watoto wenye umri kati ya miaka 4 hadi 17.

Pia soma



Mi naomba hilo zoezi liendelee na makanisa mengine pia isiwe huko mwanza tuu kuna makanisa kuna raia wakigeni kibao wako kwenye kivuki cha "watumishi"kumbe ni njia ya kuishi nchini kinyume na sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi kufungwa wala kupewa adhabu.
Labda kuhodhi vitoto chini ya miaka 18 ndipo wanaweza kumtoa hatiani
Vipo kwenye maombezi vinapewa huduma za kiroho.So vipo clinic ya kiroho kwa maombezi maalumu . Hakuna kesi hapo kuna majadiliano
 
Hawa watu wa kiroho ujui nguvu iliyo nyuma yake.
 
Hawa watu wa kiroho ujui nguvu iliyo nyuma yake.
Akina mtu wa kiroho hapo tafadhali tumia msamiati mwingine.

Anaweza kufungwa vizuri tu fuatilieni baba God aliishia wapo mbona alipatikana na hatia.
 
Akina mtu wa kiroho hapo tafadhali tumia msamiati mwingine.

Anaweza kufungwa vizuri tu fuatilieni baba God aliishia wapo mbona alipatikana na hatia.
Baba godi yupo wakfu na huduma zake kama kawaida waumini wake wanaimani mungu wao atarejea
 
Yan nipo na rafik angu hapa..juzi alitumwa kwenye mission ya kumkamata....cha ajabu jamaa kaweukaa kapelekwa bukumbi hosptal ya vichaa...ndo tupo nae hapa kumpa counceling kidogo arudi kweny hali ya kawaida maana bdo ana mawenge
Juzi ya tarehe ngapi
 
Mungu wa mbingu na ardhi amsaidia mjumbe wake. Huyu ni kweli na hana shaka kwa maneno na vitendo vyake. Mashetani yanajaribu kumwangusha ila hawataishinda nguvu ya Mungu.

Yule sio mjumbe wa Mungu Bali yeye ndio mungu. Fuatilia Imani yake.
 
Hakuna aweza
Hapo kosa ni usafirishaji wa binadamu ama kuwaaminisha waumini yeye ni Mungu anaefufua wafu?

Maana naona kuna maelezo 2 tofauti.

Kama watu wanamuamini kama mfufua wafu na ni Mungu kuna ubaya gani? Mbona watu wanaamini miungu hawajawahi kuiona na wengine wanaenda kuitembelea ilipozikwa kila mwaka na hakuna ubaya.

Zamaridi aachwe aendelee ma huduma yake ya kufufua wafu.
[/QUOTE

Kufufua wafu ni imposible labda maiti. Maana wafu Ni wale waliokwisha zikwa. Na ili ufufue wafu inahitaji nguvu kubwa sana kuzidi mauti. Ndio maana Yesu alifufua wafu na akaishinda mauti.
 
Back
Top Bottom