sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Huwezi kuona shida ikiwa wewe unaamini Mbowe ni munguPolisi wa TZ bana.
Sasa kulikua na haja gani kuandika kuwa huyo mama anawaaminisha wafuasi wake kuwa yeye ni mungu?
Au ni moja ya makosa kisheria kamahayo makosa ya human trafficking wanayomshutumu nayo?