Mwanza: Polisi yamkamata Mfalme Zumaridi. Anatuhumiwa kwa kosa la usafirishaji haramu wa watu wapatao 149

Mwanza: Polisi yamkamata Mfalme Zumaridi. Anatuhumiwa kwa kosa la usafirishaji haramu wa watu wapatao 149

Kwani hao madaktari wanaokutibia unapoa hujui kuna walevi na wazinzi..inshu ni kupona matatizo yako uendelee na maisha yako..yeye akatike mauno yanakuhusu nini.

Bora waafrika waanzishe dini zao waache kutumikia hawa ngozi nyeupe.

#MaendeleoHayanaChama

Kuna sayansi kubwa ambayo mitume na manabii wanaitumia ambayo ukiijua hawatakusumbua.
 
Pongezi zangu ziende KWA mwanamke mwenzangu mfalme zumaridi KWA kuanzisha huo mradi wa kujipatia kipato

Vipi, na sisi tuanzishe mradi wetu. Halafu wewe uwe Mfalme babyfancy! Mimi nitakuwa Msaidizi wako.

Nina uhakika wajinga wa kuwapiga watapatikana tu! Maana bado wako wengi sana mtaani.
 
Vipi, na sisi tuanzishe mradi wetu. Halafu wewe uwe Mfalme babyfancy! Mimi nitakuwa Msaidizi wako.

Nina uhakika wajinga wa kuwapiga watapatikana tu! Maana bado wako wengi sana mtaani.
Umeona ee yanini kwenda vijijini kuhangaika na vichaka mara ung'atwe na nyoka [emoji849][emoji849]akati mjini hapa ukigundua kipaji chako mambo yanaenda ona akina posa boy wanavyo piga ela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa Taifa la wafia dini kama hili hiyo ni Kiki kubwa sana kwao.
Polisi wa TZ bana.

Sasa kulikua na haja gani kuandika kuwa huyo mama anawaaminisha wafuasi wake kuwa yeye ni mungu?

Au ni moja ya makosa kisheria kamahayo makosa ya human trafficking wanayomshutumu nayo?
 
Mbona kama mahubiri yake yanaashiria kutokuwa na utukufu na utakatifu wa Mungu wetu! Wanaosajili Taasisi za kidini ni kweli walifanya uhakiki wa kutosha kabla ya kusajili Taasisi yake? Ninachelea kusema lake hilo ni kanisa pia!
 
Serikali haina dini wala haifanyi tathmini kujua mahuburi yana utukufu.
Mbona kama mahubiri yake yanaashiria kutokuwa na utukufu na utakatifu wa Mungu wetu! Wanaosajili Taasisi za kidini ni kweli walifanya uhakiki wa kutosha kabla ya kusajili Taasisi yake? Ninachelea kusema lake hilo ni kanisa pia!
 
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa kanisa la Zumaridi, kwa tuhuma za usafirishaji haramu wa binadamu 149 wakiwemo watoto wenye umri kati ya miaka 4 hadi 17....

Mama samia nyoosha kidogo uyo mchungaji
 
Screenshot_20220301-091800.jpg
 
serikali ya CCM chini samia, laana hii inawa husu ya kumnyanyasa na kumbambikizia kesi huyu bibie...
 
Mimi sio malaika kujua nini kilipelekea kipigo alichopewa huyo dada, lakini kuna wazo linanijia inawezekana huyo dada aliwatolea polisi kauli isiyo nzuri akidhani "mamlaka" yake pale kanisani kwake yana extend mpaka kwa polisi, hapo ndipo akawakera polisi.

Sikubaliani na kitendo cha polisi kuwapiga watuhumiwa wakiwa mikononi mwao, ni muhimu kwa jeshi la polisi kutoa mafunzo kwa askari wao waiache hiyo tabia ya kibabe inayokiuka haki za mtuhumiwa waiachie mahakama kuifanya kazi yake, japo siku hizi mahakama nazo...
 
Back
Top Bottom