Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Dikteta alikuwa mtu mbaya snalijifanya mwamba, kibaya zaidi aliwaponza hadi Wengine sasa wasio na hatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dikteta alikuwa mtu mbaya snalijifanya mwamba, kibaya zaidi aliwaponza hadi Wengine sasa wasio na hatia
Bandari ya wapi?uko bandarini mlikuwa mnalzimishwa nini kipindi cha mwendazake?
Sio kwamba vimemsusa bali havilazimishwi kama zamani.
Nasubiria siku mama atakapoamua kuongea na wanaume wa Tanzania, nami nijivinjari kiwanjani nikademke na mama.
40yrs.hivi ujana mwisho miaka mingapi?
Bora hao wana angalau barakoa..! Wale wa kule Mbeya na mtemi isike hawakujali cha social distance wala face mask...!Ndio wamejazana hapo na barakoa zai ila no social distancing. Barakoa bila ya social distancing wakati zote ninmbinu zinazotegemea. Acha Mungu wa Mbinguni aendelea kuwapiga upofu na kuwanyanganya kibali chake tuone huyo Mzungu wanayecmfurahisha na kumtegemea kama atachukua nafasi ya Mungu.
Ni aibu mtu mwenye 40 kujiita kijana40yrs.
Naona vijana hawaleti matukio kabisa
Dikteta alijifanya kuipuuza Covid19, alijua anawakomoa mabeberu, kumbe anachezea uhai wake,
Kilichompata kila mtu ashajifunza,ukitaka kujua dikteta nini kimemuua, jibu ni ilo namna wenzie walivyo makini kuchukua tahadhali ya Covid19
Bora hao wana angalau barakoa..! Wale wa kule Mbeya na mtemi isike hawakujali cha social distance wala face mask...!
Huyo dikteta itakuwa alishakutatua marinda.Dikteta alikuwa mtu mbaya sn
Ili kuoanisha mukhtadha na maudhui ilitakiwa na hao viongozi wa dini wa kufanya maombi wawe vijana. Na wapo wengi tu..!!Ila jukwaani naona wazee kibao.
Kwani hao viongozi wa dini waliofanya dua,hakuna vijana akina Mchungaji Mkandamizaji wakafanya dua?
Endelea kuwaza ngono mpuuzi weweHuyo dikteta itakuwa alishakutatua marinda.
Unataka niwe namuwaza mke wako?Endelea kuwaza ngono mpuuzi wewe