Mwanza: Wanafunzi na baadhi ya wananchi wasombwa kwa mabasi kupelekwa kwenye shughuli za mwenge na ziara ya Rais

Hapo na wafanyakazi wote watalazimshwa kuhudhuria na wakuu wa Idara wanaambiwa muende na daftari la mahudhurio.
 
Mkuu mbona maelezo mengi sana, mimi nimekwambia tu kuwa jua wewe siyo chizi, usijivishe uchizi
lazima nieleze mambo haya kwa kina kidogo kwa faida ya wadau..

hata hivyo,
ukichoka kusoma maelezo hayo muhimu na ya maana sana, unapumzika tu, kisha wadau watapita nayo vizuri tu na watajifunza kitu cha maana sana na itapendeza zaidi..

ama kuna ubaya ubwela wowote gentleman πŸ’
 
Nope, sawa mkuu
 
Atakuja lukas Mwashambwa na ngonjera zake!
 
Wapambe mpo!
 
johnthebaptist anaita hiyo ni mbinu ya kisayansi/kubeba na kusombelea watu ili wajae kwenye matukio ya CCM. πŸ€”
 
Actually,
ukweli lazima uwekwe bayana kwa faida ya wadau bila mbambamba ya mtu yeyote πŸ’
Ukweli ni CCM imechokwa sana hata wenyewe kwa wenyewe hamuaminiani mfano:Luhaga mpina,Nape,jamaa wa Kagera nae,mkuu wa Wilaya flani, Landlover festal mradi tuu kunakucha!
 
Hovyo sana!
 
Ukweli ni CCM imechokwa sana hata wenyewe kwa wenyewe hamuaminiani mfano:Luhaga mpina,Nape,jamaa wa Kagera nae,mkuu wa Wilaya flani, Landlover festal mradi tuu kunakucha!
huku ikiwa imejaa na kukita kambi na kusimika mizizi yake vizuri sana moyoni na kwenye fikra za waTanzania ikiwemo wewe, right?🀣

maana ni vigumu kumtofatisha anaeipenda na asie ipenda CCM maana wote wanaizungumzia CCM kwa nguvu sana na si vinginevyo πŸ’
 
Ndio maana CCM halitaki katiba na huyu Raisi,alikuwepo kwenye bunge la katiba,hasikiii Wala haongelei,kwani anayajua madhara yake kwa CCM! kitakufa kama KANU ya Kenya.Na ndio maana wewe na lukas Mwashambwa na Wengine mumo humu,kukesha na mapambio,Mtakuwa na Bima ya afya premium ili msikisekane humu!
 
CCM wanalazimisha sana kukubalikaπŸ“ŒπŸ”¨
 
hakuna haja ya katiba ingine, si muhimu wala kipaumbele kwasasa..

Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hasan ipo kazini kuwapelekea waTanzania maendeleo na si vinginevyo πŸ’
 
Watu walijipanga barabarani kumpokea papa kutokea uwanja wa ndege sijui mpaka wapi , maana Mimi nilikua pale makutano ya barabara Tazara Railway Station nilishangaa kwa umati kama Ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…