Mwanza: Wanafunzi na baadhi ya wananchi wasombwa kwa mabasi kupelekwa kwenye shughuli za mwenge na ziara ya Rais

Mwanza: Wanafunzi na baadhi ya wananchi wasombwa kwa mabasi kupelekwa kwenye shughuli za mwenge na ziara ya Rais

Kama ni hivyo wanastahili kupongezwa kwa kufanikiwa kuwapata hao wa kuwapeleka. Chadema hapa juzi kati kilishindwa kuwapata hata watu kumi katika maandamano njaa hapo dar......magari yalirudi na mtu mmoja au wawili ambao nao wakafikia tu lodge walikopangiwa na kina lissu bila hata ya kutoka ndani na hivyo kuyafanya maandamano yadode kupitiliza katika historia ya nchi hii.
Kwani ujinga wa Fisiemu lazima attack iwe kwa CDM? Kwani kuna CDM pekee hapa nchini?
 
Yes,
Hilo ni jambo la kawaida kufanywa na vyama vyenye nguvu, wanachama wengi na uwezo kiuchmi kuwawezesha wanachama wake kutoka mikoa tofauti tofauti au maeneo jirani, kumobilise usafiri wa pamoja na kujumuika na viongozi wa kitaifa katika mambo mbalimbali ya kitaifa nchini ikiwa ni pamoja na Mwenge.

Zoezi hilo ni endelevu kwasababu linachochea moyo wa kizalendo na kujitolea kwa wanachama wake. Lakini pia kuimarisha undugu na utalii wa ndani..

Asanti sana makada wa CCM kwa kujitolea usafiri na maji kidogo kwa wanachama, lakini pia shukrani sana kwa wananchi wazalendo hususani wana CCM wenyewe, kwa kwa kua tayari kujitolea muda wao, kuacha shughuli zao na kujumuika na RAIS Dr Samia Suluhu Hassan, katika hafla na matukio mbalimbali ya Kitaifa kama vile Mwenge huo wa uhuru 🐒
Mkuu unajua kuwa wewe siyo chizi?
 
Mkuu unajua kuwa wewe siyo chizi?
Na makada waandamizi wa CCM wataendelea kujitolea kwa hali na mali, kuhakiisha kila mwana CCM mwenye shauku na mapenzi ya kumuona Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, hususani anapotembelea mkoa husika. Kila mwana CCM ana haki ya kupata nafasi na fursa ya usafiri wa pamoja na wengine na kujumuika na Rais kutoka wiliaya anakotoka na kurudi bila mbambamba yoyote 🐒
 
CCM wanalazimisha sana kukubalika
Hapa Mwanza leo daladala kibao zinasomba wananchi wale wajinga wajinga na wanafunzi na kuwapeleka kwenye shughuli za mwenge na ziara ya rais hii yote waonekane CCM wanakubalika sana kwa wananchi

Barabara zinakuwa na jam kwa sababu ya masuala yao ya mwenge na kusababisha usumbufu kwa wananchi

CCM msiforce kupendwa.
Hiyo ndio inaitwa kujitekenya na kucheka mwenyewe. Mambo hayo ni kawaida sana kwa kiongozi/chama kikikaa madarakani muda mrefu, hutengeneza hadaa ya kuwa kinakubalika. Na humo hutumika nguvu ya dola/vitisho, rushwa, nk ili kuhadaa umma na dunia kuwa wanakubalika.
 
Na makada waandamizi wa CCM wataendelea kujitolea kwa hali na mali, kuhakiisha kila mwana CCM mwenye shauku na mapenzi ya kumuona Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, hususani anapotembelea mkoa husika. Kila mwana CCM ana haki ya kupata nafasi na fursa ya usafiri wa pamoja na wengine na kujumuika na Rais kutoka wiliaya anakotoka na kurudi bila mbambamba yoyote 🐒
Hizo mbinu so outdated zilitumika sana huko ulaya mashariki enzi za vita baridi ya western na east. Nyie ndio bado mnazitumia miaka hii!
 
Utakua mgeni kwenye siasa za Nchi hii, vyama vya siasa kusomba watu kwenye shughuli zao havija Anza leo.

Ni swala la muda tu, mta shuhudia karibu vyama vyote kusomba wapenzi na mashabiki wao kutokea Kila Kona karibu na mkutano wa Chama husika.
 
Hizo mbinu so outdated zilitumika sana huko ulaya mashariki enzi za vita baridi ya western na east. Nyie ndio bado mnazitumia miaka hii!
hiyo sio mbinu gentleman 🤣

hiyo ni mipango mikakati halisi ya chama inayofanyika hadharani na kuwaleta wana CCM wa mkoa hisika pamoja na kufahamiana kwa ukaribu zaidi..

kwani kuna ubaya wowote ndrugo kukaa pamoja kwa upendo na umoja jamani 🤣

dah CCM jamani?
 
hiyo sio mbinu gentleman 🤣

hiyo ni mipango mikakati halisi ya chama inayofanyika hadharani na kuwaleta wana CCM wa mkoa hisika pamoja na kufahamiana kwa ukaribu zaidi..

kwani kuna ubaya wowote ndrugo kukaa pamoja kwa upendo na umoja jamani 🤣

dah CCM jamani?
Narudia tena, hiyo ni mbinu so outdated.
 
Narudia tena, hiyo ni mbinu so outdated.
elewa basi kamanda hiyo sio mbinu ni mpango mikakati wa wazi endelevu wa CCM kuwaleta na kuwakutanisha wanachama wake kwa pamoja 🐒
 
CCM wanalazimisha sana kukubalika
Hapa Mwanza leo daladala kibao zinasomba wananchi wale wajinga wajinga na wanafunzi na kuwapeleka kwenye shughuli za mwenge na ziara ya rais hii yote waonekane CCM wanakubalika sana kwa wananchi

Barabara zinakuwa na jam kwa sababu ya masuala yao ya mwenge na kusababisha usumbufu kwa wananchi

CCM msiforce kupendwa.
Ccm hawajawai kuwa na utashii

Wanamfurahisha Mwenyekiti kwamba watu wanakuelewa
 
CCM wanalazimisha sana kukubalika
Hapa Mwanza leo daladala kibao zinasomba wananchi wale wajinga wajinga na wanafunzi na kuwapeleka kwenye shughuli za mwenge na ziara ya rais hii yote waonekane CCM wanakubalika sana kwa wananchi

Barabara zinakuwa na jam kwa sababu ya masuala yao ya mwenge na kusababisha usumbufu kwa wananchi

CCM msiforce kupendwa.
What is the problem? Sisi tulisombwa mwaka 1968 hadi Mwadui kumpokea Makamu wa Kwanza wa Rais Abedi Amani Karume: kuna ubaya gani, si ni Rais wetu? Mwaka 1991 alikuja Baba Mtakatifu Yohani Paulo II akatoa Misa pale Kawekamo. Waamini wengi tulisombwa kutoka Parokia zote Jimbo Kuu la Mwanza. Kuna ubaya gani, si ni Papa wetu? Baadaye akajaitwa Mtakatifu Yohani Paulo wa Kawekamo, isn't that great?
 
Hired crowd?
Yes, it is possible. CHADEMA hired a crowd from Moshi and Dar akiwamo mbowe ba neyaxwa ubungo to go to Tanga maziko ya Marehemu Bakari. Tanga ni Nchi ya Waislamu, maadili, walishangaa sana kuona makamanda wakimzomea Waziri akitoa duwa. Akaha

Imam akasimana kuwapa nawaidha, wakazomea na kuimba peoplezzzz power hapo hapo makaburini. Ni kikundi cha makaffir
 
Nenda kwa usafiri wa umma ufungue biashara. Wanazuia kwa vile parking sitakaa magari ya serikali!
 
What is the problem? Sisi tulisombwa mwaka 1968 hadi Mwadui kumpokea Makamu wa Kwanza wa Rais Abedi Amani Karume: kuna ubaya gani, si ni Rais wetu? Mwaka 1991 alikuja Baba Mtakatifu Yohani Paulo II akatoa Misa pale Kawekamo. Waamini wengi tulisombwa kutoka Parokia zote Jimbo Kuu la Mwanza. Kuna ubaya gani, si ni Papa wetu? Baadaye akajaitwa Mtakatifu Yohani Paulo wa Kawekamo, isn't that great?
Kama 1968 mlisombwa basi mlikuwa wajinga!
 
Na makada waandamizi wa CCM wataendelea kujitolea kwa hali na mali, kuhakiisha kila mwana CCM mwenye shauku na mapenzi ya kumuona Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, hususani anapotembelea mkoa husika. Kila mwana CCM ana haki ya kupata nafasi na fursa ya usafiri wa pamoja na wengine na kujumuika na Rais kutoka wiliaya anakotoka na kurudi bila mbambamba yoyote 🐒
Mkuu mbona maelezo mengi sana, mimi nimekwambia tu kuwa jua wewe siyo chizi, usijivishe uchizi
 
Back
Top Bottom