Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Sema kipenzi Cha baadhi ya wanaccm,sio Watanzaniahakuna haja ya katiba ingine, si muhimu wala kipaumbele kwasasa..
Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hasan ipo kazini kuwapelekea waTanzania maendeleo na si vinginevyo 🐒
hakuna haja ya katiba ingine, si muhimu wala kipaumbele kwasasa..
Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hasan ipo kazini kuwapelekea waTanzania maendeleo na si vinginevyo 🐒