Mwanza: Watu 6 wafariki kwa kugongwa na gari wakifanya mazoezi

Arusha kuna jamaa huwa anakimbia kinyumenyume kwenye barabara kuu,ujinga
 
Wajinga nyie
 
Huna hoja. Kukimbia kando ya barabara ni sawia na kutembea kando ya barabara. Ni kwa sababu Tanzania ni taifa la watu wapuuzaji na wajinga. Hakuna madereva bali waendesha vyombo vya moto. Usiniulize tofauti. Chukua hatua.
Mhaya umekasirika sana.

Miundombinu ya Tanzania hairuhusu magari na watu kukimbia kwa pamoja.

Nchi za wenzetu wana sehemu za mazoezi
 
Mtawaonaje wanakimbia kama wakijifungia kiwanjani?
 
Yote yatasemwa ila kosa litakuwa palepale Kuna madreva wengi sana Tanzania wasiojali sheria Wala utu wamejaa hasira na kisirani wenye haraka zisizo na maana
Sawa hao wanajogi wamegongwa kwa hiyo wangekuwa wanatembea ama wamekaa wanangoja usafiri ndio dreva asingewagonga tena wanajogi mi nadhani ni rahisi kuwaona na kurekebisha mwendo ndivyo tunavyofundishwa driving school
Wote tunajua hatuna barabara rafiki kwa hiyo lazima kulindana barabarani
 
Mtawaonaje wanakimbia kama wakijifungia kiwanjani?
Shida inaanzia hapo. Kwa wengi ulimbukeni ndo unawasumbua.

Huwa nashangaa vyuoni kuna viwanja vingi ila wanachuo utakuta wamekomaa barabarani tu! Huu ujinga kuna madogo kutoka vijijini ndani huko walinishirikisha first year nikawakata bango, tangu siku hiyo sijawaona tena wakiingia barabarani, nadhani watakuwa wanafanya hivyo wakienda makwao huko.
 
Kwanza ni kusababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara

Ni kuhatarisha maisha yao na ya wengine, maana wanakimbia upande wa barabara wote
 
Mhaya umekasirika sana.

Miundombinu ya Tanzania hairuhusu magari na watu kukimbia kwa pamoja.

Nchi za wenzetu wana sehemu za mazoezi
Miundombinu yetu ni hovyo.

Ni kweli usemavyo. Hapa kwetu si kukimbia tu hata kutembea kando ya barabara ni hatari tupu ukijumlisha na ujinga wa watu wetu ni balaa juu ya balaa.
 
Kuna siku moja nikiwa natembea traffic akaniita akaniambia nisitembee huku nikiwa nimeyapa magari mgongo nitembee nikiwa nayaona kwa mbele yanavyokuja nikaweka hilo kichwani hadi leo nikitoka matembezi na shangazi yenu [emoji23][emoji23][emoji3] kanuni ni hiyo
 
Ukisoma humu unagundua namna watu hawafahamu sheria za barabara na mambo yake.
Miundombinu yetu ni hovyo ukijumlisha na kuwa na wajingawajinga waendesha vyombo vya moto inawaweka watu wengine katika hatari pindi wanapotembea/kukimbia kando ya barabara.
 
Barabara za mtaani hakuna?
 
Hao wanaokimbiaga pembeni mwa barabara jogging huwa nawashanga
Barabara zetu zenyewe sehemu kubwa hayana mazingira salama kwa watembea kwa miguu/jogging

Ova
 
Kweli kabisa, mimi niliwahi kufikiria nikaona haiji kabisa kuyapa mgongo magari, nikachagua kutembelea upande wa kulia mara zote niwapo barabarani. Kumbe hata trafiki wanaelekeza hivyo!
 
Usiwasahau wa bandari nao!
 
Kwani gari sio lake huyo dereva?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…