Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Pale ni aliteleza tuu ulimi!. Usifanye kabisa mzaha na mambo ya kulamba asali, utamu wa asali unalegeza hadi ulimi unateleza!.Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.
WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.
Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.
Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.
Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.
Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Kaka mbona unatuhukumu kua tuna roho mbaya wana CCM ????Nini tatizo kaka?????Karibu ujiunge na chsma afu uone kama tuna roho nzuri au mbaya!!!Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.
WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.
Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.
Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.
Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.
Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Kaka mbona unatuhukumu kua tuna roho mbaya wana CCM ????Nini tatizo kaka?????Karibu ujiunge na chsma afu uone kama tuna roho nzuri au mbaya!!!KaribuMakamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.
WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.
Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.
Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.
Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.
Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Unajifanya hujui?Kaka mbona unatuhukumu kua tuna roho mbaya wana CCM ????Nini tatizo kaka?????Karibu ujiunge na chsma afu uone kama tuna roho nzuri au mbaya!!!Karibu
we jamaa acha uzembe huyo magu ni nani hadi atowe laana?Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli inamtafuna
Kaka kamanda ndugu zako wa UVCCM tuna roho gani mbaya kaka????Unatuhukumu bure ndugu yetuUnajifanya hujui?
Acha ujinga. Siwezi kuwa member wa chama cha majiziKaka kamanda ndugu zako wa UVCCM tuna roho gani mbaya kaka????Unatuhukumu bure ndugu yetu
Kaka karibu kundini tujenge nchi pamoja kamandaAcha ujinga. Siwezi kuwa member wa chama cha majizi
Kundi la majizi?Kaka karibu kundini tujenge nchi pamoja kamanda
Kumbe wewe kweli hamnazo, so Jiwe alikuwa msukuma?Kumtukana Magufuli umewatukana wasukuma. Utaelewa tu maana yake we tulia hapo.
Bas kaka Nikutakie siku njemaKundi la majizi?
Ya nini?Bas kaka Nikutakie siku njema
Unatafuta bwana asubuhi hiii yote?Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.
WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.
Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.
Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.
Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.
Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Inakutafuna wewe yatimaLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli inamtafuna
Hawezi kuwacha huo unafiki maana ndiyo kitengo kinacho mlipaEwe mnafiki toka uvccm ni lini utaacha unafiki?
Utampata bwana tuBaadhi ya makamanda walikosea.
Nawahi mkutano wa chama kisiwa ndui!!Karibu kakaYa nini?
Sikutegemea Pascal kuchangia comment kama hii ya kipumbavu kabisaPale ni aliteleza tuu ulimi!. Usifanye kabisa mzaha na mambo ya kulamba asali, utamu wa asali unalegeza hadi ulimi unateleza!.
P
Alikosea Bimkubwa wako kuzaa pimbi kama weweBaadhi ya makamanda walikosea.