Unakumbuka kilichotokea baada ya Maalim kukutanishwa na Hussein chato na kufanya maridhiano?Kwahiyo ushauri wako ni upi?
Mheshimiwa Molemo mimi na washikaji wenzangu tumo hewani tukifatilia kinachojiri.Ni Asubuhi tulivu siku ya Jumamosi tarehe 21 Januari hapa Jijini Mwanza.
Macho na masikio ya Watanzania yanaelekezwa hapa Jijini Mwanza kutakakofanyika shughuli kubwa ya kisiasa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo...
Will stay forever mpaka maono yatimieChadema ni mpango wa Mungu
π€£π€£π€£jamaa hao watu umewaandamaMapema sana.
Ngoja aje Kulwa Jilala kuwakilisha washamba ambao wanafikiri bado ni enzi za mshamba aliewakilisha ushamba wa mangosha.
Tengua kauli...kwa utafiti upi mbowe ni kipenzi cha kanda ya ziwaπ€Ni Asubuhi tulivu siku ya Jumamosi tarehe 21 Januari hapa Jijini Mwanza.
Macho na masikio ya Watanzania yanaelekezwa hapa Jijini Mwanza kutakakofanyika shughuli kubwa ya kisiasa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo...
Laana anΓ£yo yeye aliyekufa huku anadhambi za mauaji.Hawana lolote wanaambulia laana tu ya kushangilia kifo cha Magufuli
Nipo KATORO NAKUJA FASTER
Wewe uliye hai unaringia uhai ambao haupo mikononi mwako. Vijana wa CHADEMA hamna adabu kabisa.Laana anΓ£yo yeye aliyekufa huku anadhambi za mauaji.
Utaenda hivohovoNilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Tafiti hupingwa kwa Tafiti mpyaTengua kauli...kwa utafiti upi mbowe ni kipenzi cha kanda ya ziwa[emoji848]
Kwa aibu hii?Utaenda hivohovo
Wewe uvccm mbona kama umepiga picha kwa kuvizia! Unawaogopa makamanda na yale magwanda yao?Nilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Si hao badoNilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119