Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Meeee meeeeee.....Kwani ninyi mambuzi mna sema je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meeee meeeeee.....Kwani ninyi mambuzi mna sema je?
Mtu mwenye akili timamu huwezi ukajiita Tindo. Majina huakisi uelewa.
Upumbavu wako ni kero kwa jamii!Endeleeni kupambana na Magufuli wakati yeye hayupo wala Sio mgombea tena,Mbowe kawekwa rocap na Samia tena kwa kesi ya ugaidi,shangaa lawama zinarudishwa kwa Magufuli kisa baada ya Mbowe kutolewa jela kaitwa lkuru kapewa chai.Chadema haiwezi kuinuka kwa kumsimanga Magufuli, Chadema itainuka kwa agenda na sera safi za kumtetea mwananchi.Kwanza huko vijijini ukisema vibaya Magufuli ndio unajichimbia kabuli kabisa.
Tindo maana yake ni nini? Tuanzie hapo kabla ya kuongelea Mbowe na Lema.Naona umepagawa baada ya wasukuma kujitenga na sukuma gang hii leo hapo Mwanza.
Wala usihofu ndugu yangu tunawamudu vizuri sana.Ukitaka kujua JF ni pro CHADEMA, angalia walivyoruhusu threads nyingi zinazozungumzia kitu kilekile, mkutano wa CHADEMA mwanza!
Mara ya mwisho kula msuba ilikuwa lini?Upumbavu wako ni kero kwa jamii!
Magufuli ni shetani na yuko kuzimu anaungua!
Ahaa wapi, mpaka Sa100 kaangalia live.Lakini matokeo yake ni zero nyeusi
Bangi zinakuzuzua kijana sa100 ndio nini sasa?Ahaa wapi, mpaka Sa100 kaangalia live.
Nilipompakua mama yako kinyesi!Mara ya mwisho kula msuba ilikuwa lini?
Kwahiyo kijana kazi yako ni kupakua vinyesi wazee? Mbangi hizo ujue zinaongea.Nilipompakua mama yako kinyesi!
Jibu umelipata, karibu NEC yote ya ccm walifuatilia live, kila mtu kivyake vyake huko ma home.Bangi zinakuzuzua kijana sa100 ndio nini sasa?
NEC ipi unaongelea mdogo wangu.Jibu umelipata, karibu NEC yote ya ccm walifuatilia live, kila mtu kivyake vyake huko ma home.
Ni mzee mwenzetu!Kwahiyo kijana kazi yako ni kupakua vinyesi wazee? Mbangi hizo ujue zinaongea.
Uzushi, chawa huwajui kwa kukhera!Hivi tetesi za mwenyekiti kutupia maji leo ni kweli au uzushi
Ndio maana unatoa maneno mabovu kumbe umezoea kukaa kwenye vinyesi. Bangi mbaya mdogo wangu achana nazo.Ni mzee mwenzetu!
Hakuna wakunijibu kwa sababu ushahidi ninao. Uzuri wa dunia ya leo mambo mengi hayafichiki kama zamani.Wakikujibu unishitue mkuu wangu
Mimi baba yako!Ndio maana unatoa maneno mabovu kumbe umezoea kukaa kwenye vinyesi. Bangi mbaya mdogo wangu achana nazo.