Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

Wee mke wake mkubwa ana 39 [emoji849]

Mwanaume 33

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Basi mke ana insecurities na mume wake ndo wa kumuondolea hiyo hali,

ila kuna wanawake wana moyo mi siwezi kumpenda mwanaume naemzidi kiasi hicho miaka 6!!! Akinizidi hata mwaka tu bado naona si sawa,, au nimezoea kutoka na mababa😂😂
 
Ambacho sijasema ni kuwa nilikutana nae akiwa na mtoto, na kibaya nilijua hilo kwa baadae sana kwa hiyo hajazalia kwangu
🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe mwanamke mwenyewe ndio mjinga....mzeya piga chini huyo hakufai.
Wee mwanamke gani unazalishwa hovyo na wanaume bila kuwa kwenye ndoa...hajui kutumia akili huyo.
 
Ndio ndoa nyingi zilivyo,hapo ni kuvumilia tu na kumshirikisha Mungu kwa maombi ili alete amani.Huyo huko nje ndio kawaida yao hiyo,ukisema tu naye umuweke ndani anaweza kuwa ndio balaa kuliko hata huyo uliye naye,am talking through experience...
 
Sisi tuonajiandaa kuingia huko mada kama hizi zinatukatisha tamaa sana.
 
Alikupiga na kitu gani?
 
Hili jamaa linaonekana fal lla na lofa sana. Idiot kabisa na jinga hili!
 
Una uwezo na huoi
Leo unawaza kuoa mwingine
Na bado unajiuliza mkeo kwa nini ananuna
Nyani haoni kundule

Oa uone km hicho kisirani kitakuwepo

Mtu unajitoa af mwisho mwanaume haoni umuhimu.,mtakuja kuuwawa hivihivi
Anaanzaje kuniua sasa? Niuawe mi lofa? Ukiona dume limeuawa ujue ni lofa na lipumbavu[emoji23]
 
Hata mimi yamenikuta haya ila mimi ni muislaam nilizama kwa mwanamke mwingine baada ya mkewang kuwa anazingua penzi lilivyonoga na huyu mwanamke mwengine ikabidi nimuoe kabisa ila sasa mkewangu wa kwanza hataki uke wenza
 
Aisee nimeipenda hiyo from women's perspective
 
Kilichopo kaa naye chini muwekane sawa utoe mahari na ufunge naye ndoa, kila lakheri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…